Nina mashaka na Bwana Inayat Kassam wa Kenya

Inasemekana ni mtaalam wa mafunzo ya kulenga shabaha na uokozi.Jamaa huyo alijizolea sifa/pongezi toka kwa wananchi wa Kenya kwa namna alivyojitahidi kuwaokoa wahanga wa tukio baya kabisa lililo tekelezwa na Magaidi wa Al -Shaabab pale Westgate,Nairobi.Alipambana na alistahili zile heko!

Jana pia pale Riverside 14 km sikosei alifanya jambo fanani na lile alilopata kulifanya pale west gate katika Jiji hilo hilo,Nairobi.

Ninayo maswala mawili najiuliza huyo bwana kiintelinjesia kwa nini asichunguzwe kwanza hasa sababu ya kwanini mara zote katika matukio yale alikuwa sehemu ya watu waliofika mapema zaidi ya wengine na kuanza harakati za uokozi!

Je ni kweli ni msamaria mwema pekee?Je hana unasaba wowote na magaidi wale hasa kupitia utalamu wake wa mafunzo yale?

Kwanini kwa mfano jana ilikuwa rahisi mno kwa uzungu/weupe wake kudunguliwa kwa eneo na namna alivyokuwa kweupe na kuonekana na Magaidi wale?!

Hakika ninayo mengi ya kujiuliza kumhusu huyo bwana!Nashauli vyombo vya dola pale Kenya wamchunguze huyo Inyaat!Inawezekana uokozi wake ni GERESHA......!
Mkuu.
Hii mada uliifanyia editing?. Nahisi kama kuna mistari umeitoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na unaweza kujiona kuwa wewe ni mjuzi sana na ulielimika lakini utaonekana mburulaaaz pindi tu unapoleta mambo ya kidini na vitu vya msingi

Ama mchango yako pale tu imani yako inapoguswa au MTU wa imani pamoja na wewe

Usomi na ujuzi utaonekana hapa so kitu

Na Mimi wewe bibi umesoma sana lakini the way attitude yako na comment zenye milengo Fulani sina shaka kwamba that is part of your insanity na kaujinga flani kadogo kalikobakia kwenye medula yako .

Ukichukia sana napo ni ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kwa neno "udini" unamaanisha Uislam basi ninao sana, kwanza ni Uislam wangu kisha mengine. Hutonitoa huko.

Tunawafahamu, Ukisikia Uislam au Muislam mioyo yenu inawauma sana, sifahamu kwanini?

Maneno yako hayanishangazi tulifundishwa hivi zaidi ya miaka 1400:

Qur'an 2:120. Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu. 120
 
Kamuuliza mtoa mada akimaanisha au ana shaka na dini yake maana kuna wengine huingiza imani, au hukuona alama ya kuuliza
Umekakamia kwenye alama ya kuuliza, it doesn't change a shit. Dini haikuwa issue ya mleta uzi bali alikuwa kwenye utata wa coincidence ya kuwepo kwenye matukio mawili yanayoshabihiana.
Simply ilitakiwa tu kutoa facts za profession na majukumu yake na utata unakuwa umemalizika, vitu vingine havihitaji kuvipa utata usio na ulazima.
 
Haswaaaaa. Sasa "coincidence" kwanini ikutie Wasiwasi?

Hapo hata mkikwepa vipi, tunawafahamu.
Coincidences kwenye espionage huwa lazima zichimbwe na baada ya kujiridhisha jinsi zilivyotokea na hazikuwa na uhusiano mbaya basi maisha yanaendelea, ila kujiridhisha regardless dini(hii kwako ni muhimu) ya muhusika kuna umuhimu na ulazima just to clear the doubts.
 
Coincidences kwenye espionage huwa lazima zichimbwe na baada ya kujiridhisha jinsi zilivyotokea na hazikuwa na uhusiano mbaya basi maisha yanaendelea, ila kujiridhisha regardless dini(hii kwako ni muhimu) ya muhusika kuna umuhimu na ulazima just to clear the doubts.
Ndiyo hapooo. "Doubt" kwa dini yake? Au kingine?
 
Huyo ni Mwalimu wa maswali ya intelijensia na usalama na ana kampuni binafsi ya mambo ya ulinzi na usalama. Utakuta hizo sehemu zote kampuni yake inahusika kutoa ulinzi. Likitokea yeye ni kati ya watu wa mwanzo kujulishwa na ni mtu asiyengoja amri ya mtu mwengine.

Au kwa Dini yake tu?

Dah!
Hivi huwezagi kuandika bila kugusia udini kabisa unakera sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo hapooo. "Doubt" kwa dini yake? Au kingine?
Kwa kuwepo kwenye matukio mawili yanayoshabihiana, amekuwa kwenye spotlight hivyo si ajabu mtu kuuliza hiyo coincidence imekaa vipi. Sidhani kama dini ilikuwa ni issue kwa mleta uzi labda kwa baadhi ya wachangiaji ndiyo wamesababisha uzi ukaelekea huko.
 
Kwa kuwepo kwenye matukio mawili yanayoshabihiana, amekuwa kwenye spotlight hivyo si ajabu mtu kuuliza hiyo coincidence imekaa vipi. Sidhani kama dini ilikuwa ni issue kwa mleta uzi labda kwa baadhi ya wachangiaji ndiyo wamesababisha uzi ukaelekea huko.
Kwa kuwa wewe unasema hudhani ndiyo maana mimi nikauliza.

Isome sentensi ya mwisho ya mleta mada na post yangu ya kwanza kwenye mbadala huu?

Kama tunamtilia shaka tuanzie wapi? Magaidi mnasema Waislam hamsemi Wasomali. Inayat Muislam, shaka na mashaka analeta asiye Muislam!

Wala haihitaji kuwa mwana sayansi kuelewa mleta mada kakusudia nini.
 
Kwa kuwa wewe unasema hudhani ndiyo maana mimi nikauliza.

Isome sentensi ya mwisho ya mleta mada na post yangu ya kwanza kwenye mbadala huu?

Kama tunamtilia shaka tuanzie wapi? Magaidi mnasema Waislam hamsemi Wasomali. Inayat Muislam, shaka na mashaka analeta asiye Muislam!

Wala haihitaji kuwa mwana sayansi kuelewa mleta mada kakusudia nini.
Binafsi siwezi kumsemea mleta uzi na nimetafakari neno kwa neno especially alivyomalizia hivyo simtetei na wala simuhukumu ya kuwa alilenga dini ya muhusika kama sababu ya yeye kuchunguzwa na wala si issue ya yeye kutokea na konekana(kuwa) hero kwenye matukio mawili yanayoshabihiana.
Ila mimi ni mtu ambaye huwa natilia sana mashaka coincidences za matukio hata katika maisha yangu ya kawaida, imenisaidia sehemu nyingi.
 
Ni bora kuuliza kuliko kutoa majibu usiyokuwa na uhakika Nayo. Huyo jamaa ni mkufunzi (mwalimu)wa wana usalama wa Taifa wa Kenya, ana kampuni yake ya kutoa ulinzi, na mafunzo na mengine mengi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana ni mtaalam wa mafunzo ya kulenga shabaha na uokozi.Jamaa huyo alijizolea sifa/pongezi toka kwa wananchi wa Kenya kwa namna alivyojitahidi kuwaokoa wahanga wa tukio baya kabisa lililo tekelezwa na Magaidi wa Al -Shaabab pale Westgate,Nairobi.Alipambana na alistahili zile heko!

Jana pia pale Riverside 14 km sikosei alifanya jambo fanani na lile alilopata kulifanya pale west gate katika Jiji hilo hilo,Nairobi.

Ninayo maswala mawili najiuliza huyo bwana kiintelinjesia kwa nini asichunguzwe kwanza hasa sababu ya kwanini mara zote katika matukio yale alikuwa sehemu ya watu waliofika mapema zaidi ya wengine na kuanza harakati za uokozi!

Je ni kweli ni msamaria mwema pekee?Je hana unasaba wowote na magaidi wale hasa kupitia utalamu wake wa mafunzo yale?

Kwanini kwa mfano jana ilikuwa rahisi mno kwa uzungu/weupe wake kudunguliwa kwa eneo na namna alivyokuwa kweupe na kuonekana na Magaidi wale?!

Hakika ninayo mengi ya kujiuliza kumhusu huyo bwana!Nashauli vyombo vya dola pale Kenya wamchunguze huyo Inyaat!Inawezekana uokozi wake ni GERESHA......!
Nashukuru mungu sio mm pekee angu niliyemshuku yule jamaa wee MTU gan matukio yanamkuta na ye yupo hapo hapo lazma kuna namna halafu intelligencia ya Kenya amkeni nyie achen uboya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mama, sawa una akili na elimu kubwa. Ila huyo Kassam naamini hana dini na imani kama yako, vinginevyo asingeshiriki kufyeka wenzake kiasi hicho.
hana elimu kubwa yeyote huyo usitishwe na ID za jamiiforum huyo ni mbwa koko kama wengine tu
 
Back
Top Bottom