Sijui nani aliwadanganya kwamba hao Wanajeshi wakichukua nchi hawawi mafisadi!!hapa tuongozwe kijeshi tu maana hawa pesa ikitakiwa ni kuchukua akaunt za mafsad wa ccm bac nchi ina simama
Sijui nani aliwadanganya kwamba hao Wanajeshi wakichukua nchi hawawi mafisadi!!hapa tuongozwe kijeshi tu maana hawa pesa ikitakiwa ni kuchukua akaunt za mafsad wa ccm bac nchi ina simama
Unataka nini mkuu?Yamezidi
Mbona kama wewe ndio unaonekana Una chuki na udini na ukabila kiwango cha kutisha?Acha chuki za kipumbavu wewe! Huyo JIwe ka-reform nini zaidi ya kuua watu, na kuwafanya watu waishi kwa mashaka kipindi chake chote alichoongoza?! Huyo Jiwe ka-reform nini zaidi ya kutuachia miradi kichaa kama ndege?! Huyo Jiwe ka-reform nini zaidi ya kuelekeza mali za umma kijijini kwake?! Huyo Jiwe ka-reform nini zaidi ya kujaza watu wa kwao serikalini na kwenye idara zake? Umeumia baada ay kuondolewa nani?! Kalemani, au? Yaani bora CCM itawale milele kuliko kuwa na watu wenye chuki aina yako kwa sababu watu aina yenu ndio ambao wanaifanya dunia isiwe na amani kokote waliko! Na wafu aina yako ndo wale wakipata madaraka wanajaza ukoo wao kila ofisi!! Shame on you na uchafu wako wa ukanda, udini na ukabila!
Tuongozwe mara ngapi!?hapa tuongozwe kijeshi tu maana hawa pesa ikitakiwa ni kuchukua akaunt za mafsad wa ccm bac nchi ina simama
Kuna remote control imekaa kwenye kochi sebuleni mkuu, inachagua channel zipi tuzione.Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.
Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.
Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.
Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.
Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza
Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!
Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu. Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili. Sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya!
Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume. MUNGU TUSAIDIE
Kule uingereza , waingereza wenyewe wanataka Tony aburuzwe mahakamani kwa kusema uongo,huku tunampa kuwa mshauri, tabu sana,swa na Masanja Musukuma akawe mshauri wa serikali kule uingereza wakati hajui lolote kuhusu tabia na mila za Waingereza.Kwani si alisema amemuajiri Tony kumsaidia kurun the country
Mwigulu ni mtu muovu sana..sana. Mungu atuepushe asije kuwa RaisMkuu nchi iko mikononi mwa kikundi kinachoitwa Axis of Evil na Kiongozi wao ni gaidi Mwigulu Nchemba kwenye kundi hilo yuko Majaliwa, Ndugai, Mpango, Msigwa, Diwani wa TISS, Ndugulile. Hawa watu ni watu hatari sana na sijui nchi itakuwa mikononi mwa hawa kwa kipindi gani.
Unaweza ukaja Rudia maneno haya leo!??Magu nilikuwa simkubali ila bora angemalizia usheenz wake hafu ndo afe sio kutuachia nchi katika mvurugano na huyu mama.
Mjibie maswali niliyohoji kisha majibu yako ndo uyahusishe na hizo chuki zangu za kidini na kikabila! Mfano, sema hapa kwamba hapakuwa na mauaji awamu yake na mimi kusema hivyo ni chuki zangu tu za udini na ukabila! Sema hapa kwamba ile midege inaingiza faida kweli kweli na mimi kusema ni mradi kichaa ni chuki zangu tu za udini na ukabila! Sema hapa kwamba ni sawa tu kujenga hospitali ya rufaa kijijini kwao ambako ni very remote badala ya Geita ambako ndio HQ na mimi kusema miradi kupeleka kwao ni chuki zangu tu kwa sababu yeyote mwenye akili angejenga hospitali ya rufaa ya mkoa nje kabisa ya mkoa!!Mbona kama wewe ndio unaonekana Una chuki na udini na ukabila kiwango cha kutisha?
Polepole alisema kuna aina kadhaa za uongozi wa nchi. Tukampiga mawe. Alikuwa akitujulisha kuwa nchi si salama, inaongozwa na kikundi cha wahuni na mama yetu anapigishwa kwata speed kali ili asigundue nchi ina wenyewe.Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.
Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.
Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.
Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.
Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza
Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!
Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu. Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili. Sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya!
Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume. MUNGU TUSAIDIE
Pole sana.x
Mjibie maswali niliyohoji kisha majibu yako ndo uyahusishe na hizo chuki zangu za kidini na kikabila! Mfano, sema hapa kwamba hapakuwa na mauaji awamu yake na mimi kusema hivyo ni chuki zangu tu za udini na ukabila! Sema hapa kwamba ile midege inaingiza faida kweli kweli na mimi kusema ni mradi kichaa ni chuki zangu tu za udini na ukabila! Sema hapa kwamba ni sawa tu kujenga hospitali ya rufaa kijijini kwao ambako ni very remote badala ya Geita ambako ndio HQ na mimi kusema miradi kupeleka kwao ni chuki zangu tu kwa sababu yeyote mwenye akili angejenga hospitali ya rufaa ya mkoa nje kabisa ya mkoa!!
Mengine malizia mwenyewe!
Una hoja nzitox
Mjibie maswali niliyohoji kisha majibu yako ndo uyahusishe na hizo chuki zangu za kidini na kikabila! Mfano, sema hapa kwamba hapakuwa na mauaji awamu yake na mimi kusema hivyo ni chuki zangu tu za udini na ukabila! Sema hapa kwamba ile midege inaingiza faida kweli kweli na mimi kusema ni mradi kichaa ni chuki zangu tu za udini na ukabila! Sema hapa kwamba ni sawa tu kujenga hospitali ya rufaa kijijini kwao ambako ni very remote badala ya Geita ambako ndio HQ na mimi kusema miradi kupeleka kwao ni chuki zangu tu kwa sababu yeyote mwenye akili angejenga hospitali ya rufaa ya mkoa nje kabisa ya mkoa!!
Mengine malizia mwenyewe!