Unajua kuna tabia ya mtu kuwanyooshea vidole wengine bila kwanza kujiangalia. Nimeangalia thread nyingi zikieleza ukiukwaji wa kanuni za bunge hata kabla halijatimiza wiki mbili.
Kweli spika na wenzake wanakosea. Nilidhani kukosea huko basi kila utaksoposoma post zetu basi tungeshuhudia vikimwagwa vifungu mbalimbali kuonyesha JF ni full thinkers and searchers kwelikweli.
Badala yake vifungu ni haba na tunatajirishwa kauli nyingi za inferiority complex kama kusononeka, kukata tamaa, kuchukia, kusonya na mengine mengi ambayo hakuna mahala yaliwahi kuleta solution.
Mimi naanza kwa na mashaka na uelewa wa kanuni hizi za bunge. Si mashaka kwa spika na wabunge. La hasha. Hao tumeshona Tundu Lissu, Mnyika, na Zitto walivyowaumbua na nina hakika wataendelea kuwaumbua waishie kutoa macho na kauli kali.
Mashaka yangu ni kwa wengi wa wana-JF wenyewe humuhumu ambayo yataondolewa kwa kunimwagia jinsi tunavyopangua ukiukwaji wa bungeni kwa kujadili vifungu sahihi.
Kwani nimeshuhudi humu mtu akileta vifungu tunakaa kimya kwa post ile na tunaendelea kujikita na yale niliyoyaeleza.
Kweli spika na wenzake wanakosea. Nilidhani kukosea huko basi kila utaksoposoma post zetu basi tungeshuhudia vikimwagwa vifungu mbalimbali kuonyesha JF ni full thinkers and searchers kwelikweli.
Badala yake vifungu ni haba na tunatajirishwa kauli nyingi za inferiority complex kama kusononeka, kukata tamaa, kuchukia, kusonya na mengine mengi ambayo hakuna mahala yaliwahi kuleta solution.
Mimi naanza kwa na mashaka na uelewa wa kanuni hizi za bunge. Si mashaka kwa spika na wabunge. La hasha. Hao tumeshona Tundu Lissu, Mnyika, na Zitto walivyowaumbua na nina hakika wataendelea kuwaumbua waishie kutoa macho na kauli kali.
Mashaka yangu ni kwa wengi wa wana-JF wenyewe humuhumu ambayo yataondolewa kwa kunimwagia jinsi tunavyopangua ukiukwaji wa bungeni kwa kujadili vifungu sahihi.
Kwani nimeshuhudi humu mtu akileta vifungu tunakaa kimya kwa post ile na tunaendelea kujikita na yale niliyoyaeleza.