BLOOD DIAMOND
Member
- Mar 24, 2017
- 92
- 122
Habari za majukumu wanabodi, kama mada inavyojieleza,,ninababu yangu kanikabidhi Lita mia mbili za asali toka tabora..sina uzoefu WA bei harisi kwa hapa dar es salaam. Naomba mwenye ufaham na soko zuri kwa hapa dar na inauzwa kwa bei gani kwa dumu LA lita20
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app