kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,181
- 1,574
Habari za majukumu, nina fedha isiyo taslimu shilingi laki tisa(900000 TZS), ambayo itakamilika kufikia mwezi wa 10 mwaka huu. Nimewiwa kununua usafiri wangu ila nimeamua kutumia njia tofauti kidogo.
Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).
Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.
NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.
Karibuni sana!
Yaani kama ni hesabu za kugawanya, basi tungesema nimetumia njia fupi. Kwa jiji hili la DSM usafiri ni changamoto kubwa mno, hasa local transportation of passengers(usafiri wa hapa hapa Dar).
Naomba kama kuna mtu atakuwa na skrepa au anamfahamu mtu au taasisi yenye skrepa hizo, basi tuwasiliane na atoe details hapa. Ili kila mmoja aone na afahamu hivi vitu.
NB: nahitaji new model, au hata ya mwaka 2020 kulingana na series za matoleo yake.
Karibuni sana!