Kama nilivyojieleza nina kitu kizuri sana nashindwa jinsi ya kukiweka hapa
kitu kipo mkuu nimeishakiandaa natafuta pc maana hapa natumia cm nashindwa kuatach
sema ni kitu gani ili uelekezwe.......
ukiwa mwongo usiwe msahaulifu. Mbona hapo chini imeandikwa sent from my pc.kitu kipo mkuu nimeishakiandaa natafuta pc maana hapa natumia cm nashindwa kuatach
Kama nilivyojieleza nina kitu kizuri sana nashindwa jinsi ya kukiweka hapa
Kama nilivyojieleza nina kitu kizuri sana nashindwa jinsi ya kukiweka hapa
ni kweli natumia pc ila namalizia masuala fulani ila itakuwa hewani sasa hivi
Mkanganyiko mtupu.kitu kipo mkuu nimeishakiandaa natafuta pc maana hapa natumia cm nashindwa kuatach
watu wote hawakujiunga siku moja,kuna wengine mpaka hivi sasa wanajiunga huenda wanahitaji kujua zaidi,we kama unajua pita tu mkuuWe inalekea mgeni humu jamvini,
Hii kitu mbona tunayo siku nyingi tu, sema tu natumia simu but ningeku-linkisha na huo uzi wenye hii kitu.
Watu tumekaa macho kusubiri kumbe ni hiyo barua??