Jing chu
JF-Expert Member
- May 9, 2019
- 385
- 592
Wakuu bila shaka hamjambo!
Aisee! Mimi ni mfanyakazi wa shirika moja nafanya kazi kwa kuzunguka the whole week. Nachojishangaa hii kazi nahisi kabisa siitaki ila nafanya tu basi.
Kuna siku siendi nasingizia uongo wowote nashinda ndani. Kuna muda nahisi kama nimelogwa kabisa. Mshahara ni wa kawaida sio wa kulipa pango na kujenga yani ni hela ya kubadili mboga na kulipa kodi.
Sasa najiuliza nitaishi hivi hadi lini, nimejitahid kubalance angalau nifungue biashara lakini wapi. Kiufupi sina mood na kazi hii. Huu ni mwaka wa 2 tangu niajiriwe.
Najihisi vibaya kila ikifika asubuhi.
Wakuu naweza kuwa na tatizo gani?
Aisee! Mimi ni mfanyakazi wa shirika moja nafanya kazi kwa kuzunguka the whole week. Nachojishangaa hii kazi nahisi kabisa siitaki ila nafanya tu basi.
Kuna siku siendi nasingizia uongo wowote nashinda ndani. Kuna muda nahisi kama nimelogwa kabisa. Mshahara ni wa kawaida sio wa kulipa pango na kujenga yani ni hela ya kubadili mboga na kulipa kodi.
Sasa najiuliza nitaishi hivi hadi lini, nimejitahid kubalance angalau nifungue biashara lakini wapi. Kiufupi sina mood na kazi hii. Huu ni mwaka wa 2 tangu niajiriwe.
Najihisi vibaya kila ikifika asubuhi.
Wakuu naweza kuwa na tatizo gani?