.....na copy na ku paste words, lakini imekataa ku copy wala ku paste words toka kwenye picha.
Yaani inakuwa km ina copy picture yote badala ya ku copy words peke yake, maana Mimi nina shida na words nilizopiga picha
Wajuvi naombeni muongozo wenu.
cc: ma chief wote wa jukwaa la tech.
Yaani inakuwa km ina copy picture yote badala ya ku copy words peke yake, maana Mimi nina shida na words nilizopiga picha
Wajuvi naombeni muongozo wenu.
cc: ma chief wote wa jukwaa la tech.