Nina kampuni ya Clearing and Forwarding nahitaji mdau wa kufanya naye kazi

Msimkatishe tamaa.
kunawengine kweli hawaja soma ila wana uthubutu kuliko msomi, na ndiyo matajiri wakubwa.
Kujua kuandika kwa ufundi siyo ndiyo kujua .
Kuna wasomi wangapi kila siku tunawaona wana lalamika kukosa ajira tafsiri yake wanekosa ubunifu.
Nisemetu, kujua kuandika vizuri siyo ndiyo kuelewa au kuwa ndiyo mwenyewe uthubutu.
Nimshauri mtoa mada usiogope kukosolewa ndiyo kujifunza kwenyewe kikubwa kujua lengo ulilo kusudia
 
Unahitaji kitu gani hasa kijana? Hebu funguka zaidi, unahitaji PESA, MAWAZO/MBINU ZA KIBIASHARA, au nini hasa? Usiweke kona kona utaharibu bandiko lako bure. Sawa sawa?
 
Msimkatishe tamaa.
kunawengine kweli hawaja soma ila wana uthubutu kuliko msomi, na ndiyo matajiri wakubwa.
Kujua kuandika kwa ufundi siyo ndiyo kujua .
Kuna wasomi wangapi kila siku tunawaona wana lalamika kukosa ajira tafsiri yake wanekosa ubunifu.
Nisemetu, kujua kuandika vizuri siyo ndiyo kuelewa au kuwa ndiyo mwenyewe uthubutu.
Nimshauri mtoa mada usiogope kukosolewa ndiyo kujifunza kwenyewe kikubwa kujua lengo ulilo kusudia
Tanzania kuna wasomi wengi si ajabu nikisema asilimia tisini, tatizo ni wataalamu ndio asilimia moja tu wakiongezeka sana hadi 2030 watafikia 5%.
 
Back
Top Bottom