Jaman naomba munisaidie mwenzenu kama kuna bint nimemuona na kumtamani bac bint huyo naota nafanya nae mapenz tena karbia waschana wote wazur hapa mtaani kwe2 na wengine huwa cwajui na ikshatokea hivyo nikiwaona nakuwa cwatamani tena so,kuna m2 nilimueleza akanambia nina jini mahaba je kuna ukweli wwte kuhuxu hilo na kama ni kwel nn dawa yake?
NISAIDIENI NIMEKWAMA WAKUU!!!
hehehewewe MziziMkavu hao waarabu wanakuharibu