Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Nina iman na mihili yote ya nchii
Tukianza na ikulu hii taasisi imekamilika na inafanya mambo yake kwa weled pasipo kuingiliwa na mtu yeyeto yule
Mahakama hii ni taasisi ambayo inajitegemea huwa mda mwingine ina ingiliwa lakin nachoshukuru ni kwamba huwa inabaki imara na haingozwi kwa remoti
Polis hii taasisi nayo inaongozwa na watu wasiojulikana kwa kupokea maamuz kutoka juu
Bunge ndo mhimili mkubwa kabisa nchin lakin kwa sasa hauna meno na niki bogoyo
Sina iman kabisa na bunge kwakweli, bunge linaendeshwa kwa remot bunge gan hili
Bunge halina saut bunge gan hili
Sina iman na bunge hata kidogo
LONDON BABY
Nina iman na mihili yote ya nchii
Tukianza na ikulu hii taasisi imekamilika na inafanya mambo yake kwa weled pasipo kuingiliwa na mtu yeyeto yule
Mahakama hii ni taasisi ambayo inajitegemea huwa mda mwingine ina ingiliwa lakin nachoshukuru ni kwamba huwa inabaki imara na haingozwi kwa remoti
Polis hii taasisi nayo inaongozwa na watu wasiojulikana kwa kupokea maamuz kutoka juu
Bunge ndo mhimili mkubwa kabisa nchin lakin kwa sasa hauna meno na niki bogoyo
Sina iman kabisa na bunge kwakweli, bunge linaendeshwa kwa remot bunge gan hili
Bunge halina saut bunge gan hili
Sina iman na bunge hata kidogo
LONDON BABY