angalia una uwezo gani au kipaji gani, then unajisomesha kutokana na kipaji chako, mfano biashara vipo vitabu ving vya biashara, na fanya hivi huku ukitafuta hiyo nafasi unayoitaka lakini kukaa kusburi shule ni vigumu na unaweza kuzeeka ukisubir.Upo sahihi ila note that college zina kitu knachoitwa fees na hata hzo library pia na huwezi kwenda kusoma cku 1 au 2
Wa kiume and kazi zote nafanya kasoro wizi na ushoga
Mkuu, kukata tamaa ni kujikosea mwenyewe na kumkosea Mungu aliyekuumba!!!KUMBUKA:Kama hujisikii kunishauri na upo hapa kukosoa naomba usisome hii post
Wana JF nina stress kwanza mzazi wangu hana uwezo na mm nataka kusoma so nikiangalia wenzangu ambao tulisoma wote O lever wpo chuo wanasoma diploma na bachelor and mm nipo home tuu, in addition sina kazi na nimetafuta kazi mpaka nmechoka (japo cjakata tamaa ) na cjafanikiwa, kadhalika sina sina rafiki wa kukaa nae kunipa ushauri maana sisi vijana wa cku hizi kwnza wavivu,tunataka short cut so story zao ni uhuni,mapenzi,muziki na mipira tuu vitu ambvyo havitanijenga na nikisema nitafute wenye mawazo mbadala wote huwa bize na kazi zao so in this case nabaki tuu na strees tuu mpka nakosa hamu ya kula, na najiona cna sabab ya kuishi na nikiona mtu aliye na mafanikio mwenye rika langu (22yrs) nataman kufa yani ,
Nawasilisha
Nakutafuta nami piaKwanza pole sana mdogo wangu, ila kumbuka kwa kiswahili kuna msemo mmoja "mbuyu pia ulianza kama Mchicha" au kwa kimombo wanasema Every boss started as a worker. Sioni sababu ya wewe kutamani kufa. Mitihani is part of life unapoesema unatamani kufa its wrong unamkufuru mungu. The only thing I can advice in get a job usikimbilie high jobs coz huna experience or profession once ukipata unaweza ukajisomesha. Nitafute in private I will give you a brief history of my life how I started mpaka Leo Niko niliko.
KabisaSubiri na sali sana kama unasubiri kwenda kusoma Darasani, Hukubahatika kusoma mpaka muda huu na pia unataka kwenda kukaa darasani?
Unategemea kumaliza lini kusoma na kupata ajira?
Eti kureview vitu? Kuna njia mbili za kusoma
1. Kusoma kwa uwepo wa mwalimu
2. Kusoma kwa kutokuwepo mwalimu(Kwa kutumia vitabu).
ulifkiri akina Bill gates, Steve Jobs na wengne walisubiri na kun'gan'gania shule hadi leo? ulifkiri walipoteza muda wao kama wewe kusubiri kuingia darasani? nafkiri kwanza tafuta maana ya knowledge na jinsi gani inapatikana then ndo uanze njia za kutafuta ili urudi darasani. Itumie akili yako.
UmeongeaKwa kuwa umesema hauchagua kazi yoyote halali jaribu kutembelea sehemu zifuatazo bila kujali kama wametangaza nafasi za kazi au la, wakati mwingine riziki tunakutana nazo huko huko;-
1. Kampuni za Ulinzi
2. Kwenye Hoteli za Kitalii na Kawaida kuna baadhi ya Kazi huitaji kuwa umesoma Hotel Management Whatever
3. Car Wash/ Sehemu za kuosha Magari
4. Kampuni za Ujenzi/ Construction Sites.
5. Viwandani hususani vya Wachina/Wahindi hawa ni mabingwa wa kuajiri na kufukuza papo kwa papo
6. Bado naendelea kufikiria...........................
KUMBUKA:Kama hujisikii kunishauri na upo hapa kukosoa naomba usisome hii post
Wana JF nina stress kwanza mzazi wangu hana uwezo na mm nataka kusoma so nikiangalia wenzangu ambao tulisoma wote O lever wpo chuo wanasoma diploma na bachelor and mm nipo home tuu, in addition sina kazi na nimetafuta kazi mpaka nmechoka (japo cjakata tamaa ) na cjafanikiwa, kadhalika sina sina rafiki wa kukaa nae kunipa ushauri maana sisi vijana wa cku hizi kwnza wavivu,tunataka short cut so story zao ni uhuni,mapenzi,muziki na mipira tuu vitu ambvyo havitanijenga na nikisema nitafute wenye mawazo mbadala wote huwa bize na kazi zao so in this case nabaki tuu na strees tuu mpka nakosa hamu ya kula, na najiona cna sabab ya kuishi na nikiona mtu aliye na mafanikio mwenye rika langu (22yrs) nataman kufa yani ,
Nawasilisha
Kwa nini usitafute kajibiashara tuu fulani, hako kanaweza kukusaidia kupata vijisenti vya kulipia shule au kozi unayotaka kusoma. usikate tamaa. Huna haja ya biashara kubwa sijui ukatafute mikopo, biashara ndogo tuu. Na wala usiangalie nani anakuangalia, haya ni maisha yako. All the best, kila kitu kinawezekana chini ya jua.