Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Muulize huyo muhusika kwani wewe huoni hiyo ni dili kwako kujua dawa ya ugonjwa unaosemekana ni incurable??!! 😷One of my family members was diagnosed with hepatitis B three decades ago, akaambiwa hakuna tiba. Baadae akapata complication ya ini. Alifuata masharti ya dr ya don’ts. My late mother alihangaika na dawa za kienyeji mbalimbali. Ajabu mgonjwa alipona na anadunda vizuri, lakini hajui specifically ni dawa ipi ilimponya kwa sababu alitumia concoction ya kutosha