Jaffari Yusuph
Member
- Aug 23, 2019
- 8
- 16
Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga.
Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje.
Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji.
Nauza TSH 1,000,000 Kwa Heka 1.
------------------------------------ DIRECTION YA SHAMBA LILIPO ----------------------------
Ukiwa unatokea arusha ...kuna sehemu inaitwa bwiko kwa profesa Asad..kuna ghorofa moja ipo barabarani..unakata kulia baada ya hapo bwiko ni kilometa 25 mpaka shambani..
Ukiwa unatokea Dar ukitokea korogwe unakata sehemu inaitwa Mazinde kwa mohamedi entreprise kutokea hapo ni kilometa 35 mpaka shambani....
Kwa maana hiyo shamba lipo kati kati ya Mazinde ya kwa mohamedi dewji na bwiko kwa profesa Asad..
KARIBU SANA
0688 8888 43 au 0677 81 82 83
Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje.
Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji.
Nauza TSH 1,000,000 Kwa Heka 1.
------------------------------------ DIRECTION YA SHAMBA LILIPO ----------------------------
Ukiwa unatokea arusha ...kuna sehemu inaitwa bwiko kwa profesa Asad..kuna ghorofa moja ipo barabarani..unakata kulia baada ya hapo bwiko ni kilometa 25 mpaka shambani..
Ukiwa unatokea Dar ukitokea korogwe unakata sehemu inaitwa Mazinde kwa mohamedi entreprise kutokea hapo ni kilometa 35 mpaka shambani....
Kwa maana hiyo shamba lipo kati kati ya Mazinde ya kwa mohamedi dewji na bwiko kwa profesa Asad..
KARIBU SANA
0688 8888 43 au 0677 81 82 83