1. Frank
2. George
3. Kelvin
4. Alex
5. Samuel
6. Dominic
7. Richard
badala ya kila Siku tu kuyasikia haya Majina ya akina:
1. Athumani
2. Mohammed
3. Kassim
4. Suleiman
5. Abdallah
6. Issa
7. Hassan
Nawasilisha.
WAKINA GEORGE , KELVIN NA WENZAO WAO HAWAITWI MAGAIDI WANAITWA WATEKAJI AU MAJAMBAZI KWANI HUONI MAREKANI MTU ANAAMUA KUITEKA CHUO NA KUANZA KUUWA WANAFUNZI NA SIO MARA MOJA KILA MARA HUWEZI KUSIKIA WANAITWA MAGAIDI. SASA PAMOJA NA VITUKO VYOTE HIVYO BADO WATU WANAINGIA UISLAMU KWA WINGI
Sent from my iPhone using JamiiForums