ameoa cheki hii picha vizuriNyumbani kwako kuzuri umeoa
Tatizo tunashindwa kuwatofautisha na TISS
Wewe ni mla tigo mkuu?Karibu uje uzichukue mkuu rayyounger
Naona riziki yangu unataka kuilalia mgongo wazi jamani. Kama ni mdoli pia uncle wangu anao nahajaoaameoa cheki hii picha vizuri
Kama una kng'amuz cha azam tv sema mkuuJamaa ana bahati ngoja nami nipige picha vyangu labda nitaokota dodo chini ya MNAZI
Tatizo sio mdoli.......huo mguu hapo kulia umeuona. Mme wa mtu thumu.Naona riziki yangu unataka kuilalia mgongo wazi jamani. Kama ni mdoli pia uncle wangu anao nahajaoa
Umeonaahata hivyo unauza gharama sana
Hata mimi nimeshangaa alivyosema bei kubwaHumu wengi wanaanza maisha,bei zako ni nzuri sana kwamfano dinning table hiyo ni bei ya kuokota hata kama imetengenezwa kwa mbao za mwembe,mwarobaini au mkorosho achilia mbali mbao za mdizi.
Utapata watu wanaojua thamani ya samani.hapa wengi wanataka kununua kwa ela za boom.