Nina gari aina ya Noah nataka kuanza biashara ya kubeba abiria, naomba kujua njia gani ina wateja wengi

Habari za muda huu.., nakuja mojaKwamoja kwenye mada kuna gari ya Home ni ya mshua aina ya noah nataka nianze kupiga ruti za kutafuta hela ila sijui paKuanzia.

Nipeni ruti za kupiga hela au kama kuna madereva wenye experience ni ruti zip zina hela.

AHSANTENI SANA PIA NAWAKALIBISHA PM.

Kama lipo vizuri, litumie kwa kukodisha watu wa harusi hivi
 
Habari za muda huu...

Nakuja kwenye mada mojaKwaMoja home hapa kuna Gari ya mshua aina ya noah nataka nianze kuifanyia kazi lakini sijui pakuanzia Mnisaidie ni ruti gani zina hela kwa hapa DSM najua humu kuna experienced Drivers naomba mwongozo..! NAWASILSHA.
AHSANTENI NAWAKALIBISHA PM.
 
Cheki route zenye shida ya usafiri, mfano kuna Noah zinakuwepo Kkoo- Gerezani pale jioni, wanabeba vichwa vya kwenda Mbande, Chamazi etc.

Jaribu kufanya utafiti kama inalipa lkn
 
Umejaribu kujiuliza kwanini huzioni zikisafirisha watu mjini?...au unadhani wewe ndo wa kwanza kuwa na hilo wazo?
 
Back
Top Bottom