Nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu

griffin2

JF-Expert Member
Dec 28, 2015
694
831
Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
 
MI NIKAJUA TATIZO NI NGUVU ZA KIUME PEKEE KUMBE HADI MAGARI HUWA YANAPOTEZA NGUVU???!!!
Just kidding, pole sana mkuu nina imani utapata suluhisho bora zaidi au unaweza kutafuta forums za nje zinazohusu magari,huwa wana discuss vitu kwa mapana sana kule
 
Pole sana mkuu nadhani ungetafuta garage nzuri waichek kwa kutumia diagnosis machine hapo utapata mwanga kidogo bila utamaliza pesa na muda wako tatizo litabaki sababu mafundi wengi wanabahatisha tuu
 
Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Service ya kubadili oil ulishafanya?
 
Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Mkuu magari ya siku hizi umeme mwingi ..hayapigiwi ramli....

Fanya diagnosis ambayo haizidi elfu 50....
Unaweza kukuta ni kitu kidoogo tu...
Control box ikizingua ungeona mapicha picha mpaka uchanganyikiwe...
 
Mkuu magari ya siku hizi umeme mwingi ..hayapigiwi ramli....

Fanya diagnosis ambayo haizidi elfu 50....
Unaweza kukuta ni kitu kidoogo tu...
Conteol box ikizingua ungeona mapicha picha mpaka uchanganyikiwe...
Asante kwa ushauri
 
Diagnosis nshafanya mkuu ila fundi akasema ni control box ndiyo imezingua hivyo nikaibadili ila tatizo bado halijapona
Mkuu magari ya siku hizi umeme mwingi ..hayapigiwi ramli....

Fanya diagnosis ambayo haizidi elfu 50....
Unaweza kukuta ni kitu kidoogo tu...
Conteol box ikizingua ungeona mapicha picha mpaka uchanganyikiwe...
 
Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Gari lako litakuwa na moja kati ya matatizo yafuatayo:-
1. Fuel pump itakuwa imeanza kuharibika, ama fuel filter (chekeche) itakuwa imeziba na hata kusababusha mafuta ya kutisha kutokwenda kwenye engine ili yaunguwe.
2. Uwezekano wa gasket kuwa chakavu ni mkubwa na hata kupelekea bypass za oil, hydraulic, fuel ama kuvuja ama kupunguza compression.
 
Mkuu hapo ni gearbox inazingua gear ya tatu au ya nne. Ila kabla hujafika ndani ya gearbox, kuna solenoids zinazofungulia oil kwenye channel ya kila gear. Hivyo kama solenoid ya gear ya tatu au nne imekufa, gear hizo hazibadiliki hivyo gari kubakia kwenye mwendo mdogo. Chakufanya ni ku test kwanza solenoids.
NB: Hii ni kama transmission oil ipo level inayotakiwa na ni nyekundu. Tofauti na hapo, huenda ni suala tuu la kubadili hiyo oil
 
Mkuu hapo ni gearbox inazingua gear ya tatu au ya nne. Ila kabla hujafika ndani ya gearbox, kuna solenoids zinazofungulia oil kwenye channel ya kila gear. Hivyo kama solenoid ya gear ya tatu au nne imekufa, gear hizo hazibadiliki hivyo gari kubakia kwenye mwendo mdogo. Chakufanya ni ku test kwanza solenoids.
NB: Hii ni kama transmission oil ipo level inayotakiwa na ni nyekundu. Tofauti na hapo, huenda ni suala tuu la kubadili hiyo o
Mkuu hapo ni gearbox inazingua gear ya tatu au ya nne. Ila kabla hujafika ndani ya gearbox, kuna solenoids zinazofungulia oil kwenye channel ya kila gear. Hivyo kama solenoid ya gear ya tatu au nne imekufa, gear hizo hazibadiliki hivyo gari kubakia kwenye mwendo mdogo. Chakufanya ni ku test kwanza solenoids.
NB: Hii ni kama transmission oil ipo level inayotakiwa na ni nyekundu. Tofauti na hapo, huenda ni suala tuu la kubadili hiyo oil
Napata logic hapa. Tungepata feedback hapa ingependeza
 
Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Naomba feedback mkuu, ulifanikiwaje hapa?
 
Za sa hizi wananzengo,nina gari aina ya Allion new model lakini inakosa nguvu, inakimbia mwisho speed 80 baada ya hapo haibadilishi tena gia.
Niliipeleka kwa fundi akaniambia kuwa shida ni control box, nimebadilisha lakini tatizo liko pale pale.
Naombeni msaada wenu wa mawazo na fundi ambaye anaweza kunitatulia tatizo langu.
Kumbe ndio Maana Premior ni bOra zaid kuliko Allion eeeeh.
Pole mwamba kagua kgumo wa gear BOX
 
Kumbe ndio Maana Premior ni bOra zaid kuliko Allion eeeeh.
Pole mwamba kagua kgumo wa gear BOX

PREMIO na ALLION hasa yake matoleo ya kwanza 2001-2007 sidhani kama kuna tofauti yoyote zaidi ya Kasha la nje (Body).
Ubora wake ni sawa ni preference TU kwamba mtu anataka Shape gani.
Kwangu ALLION is the BEST.
 
Back
Top Bottom