mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,761
Connection kivipi mkuu yaani kwa mfano umeniona mimi najenga nyumba yangu unanifuata unanieleza kuwa wewe ni fundi umeme nikupe kazi ya wiring hapo kuna connection gani sasa inahitajika?Mkuu tatizo connection bosi wangu