Mpe mchanganuo mfano kwa editing nitahitaji imac pro inauzwa bei flani camera nitahitaji Canon EOS inauzwa bei hii na ofisi pango ni kiasi flani na tutafanya hivi kuingiza faida ukijibu hivyo kwa ufupi unaweza poteza muwekezaji kuna watu wana mitaji lakini hawajui wawekezeje na wapiSio chini ya milioni 20 hapo atleast unapata vitu vitu vya kisasa