Elias Manyasi
Member
- Mar 19, 2015
- 9
- 18
Habari,
Nina dhumuni na nia thabiti kujiingiza kwenye kilimo biashara! Bado ni mgeni kwenye hii sekta, kwa haraka nimepata wazo la kulima Matikiti Maji.
Je, ni zao sahihi na lenye faida kwa sasa!? Kipi cha kuzingatia!? Changamoto zake?
Ahsanteni na mbarikiwe.
Nina dhumuni na nia thabiti kujiingiza kwenye kilimo biashara! Bado ni mgeni kwenye hii sekta, kwa haraka nimepata wazo la kulima Matikiti Maji.
Je, ni zao sahihi na lenye faida kwa sasa!? Kipi cha kuzingatia!? Changamoto zake?
Ahsanteni na mbarikiwe.