Msokwa1
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 470
- 511
Maisha yanakaba mtaani, inafika hatua hata vitu ulivyovinunua kwa ajili ya matumizi binafsi unaanza vifikiria ni jinsi gani vinaweza kuongezea kipato, mimi ni kijana umri miaka 24 sina ajira ya kueleweka yaan naunga unga sana gheto nina desktop moja na kilaptop kimoja naomba wanajamii mnisaidie kujiajili kwa vifaa nilivyo navyo hivi niko makambako.