Nina cholestro nitumie dawa gani za vyakula?

Mbwambo

JF-Expert Member
Nov 25, 2008
625
93
Jamani ninaomba ushauri wenzagu nina cholestro ambayo nimepewa dawa za hospital kuanzia leo kunywa miezi miwili.
Je kitu gani cha asili nitumie ili itoke mwilini mwangu?
Asanteni:israel:
 
Jamani ninaomba ushauri wenzagu nina cholestro ambayo nimepewa dawa za hospital kuanzia leo kunywa miezi miwili.
Je kitu gani cha asili nitumie ili itoke mwilini mwangu?
Asanteni:israel:

Nenda pale Eden Saniturium Clinic Kimara Stop-Over wana dawa za miti shamba ambazo ukitumia ndani ya mwezi mmoja cholesteral level yako itakuwa normal.Wana vipimo kabla ya kutumia na baada ya kutumia dawa,you can check anywhere you like na results zitakuwa positive.
 
Jamani ninaomba ushauri wenzagu nina cholestro ambayo nimepewa dawa za hospital kuanzia leo kunywa miezi miwili.
Je kitu gani cha asili nitumie ili itoke mwilini mwangu?
Asanteni:israel:
hapa jf dr sijui kama ni madr wa kienyeji. ila najua umepewa statin, na unatakiwa kunywa usiku. usipofuata masharti ya dr, utapatwa na magonjwa ya moyo. mzaa mzaa tumbua usaha.
 
hapa jf dr sijui kama ni madr wa kienyeji. ila najua umepewa statin, na unatakiwa kunywa usiku. usipofuata masharti ya dr, utapatwa na magonjwa ya moyo. mzaa mzaa tumbua usaha.

Yupo Mtaalamu wa Dawa za Kiasili humu JF anaitwa MziziMkavu, nadhani akiiona hii mada atakusaidia sana, dawa za hospital ni nzuri lakini zina side effect nyingi, maana unaweza ukawa unatatua tatizo la Cholestro na ukasababbisha tatizo la Figo
 
Onions contain chemicals which help fight the free radicals in our bodies. Free radicals cause disease and destruction to cells which are linked to at least 60 diseases.

When a person eats at least 1/2 a raw onion a day, their good type HDL cholesterol goes up an average of 30%. Onions increase circulation, lower blood pressure, and prevent blood clotting.
 
Jamani ninaomba ushauri wenzagu nina cholestro ambayo nimepewa dawa za hospital kuanzia leo kunywa miezi miwili.
Je kitu gani cha asili nitumie ili itoke mwilini mwangu?
Asanteni:israel:

Ni PM ntakuunganisha na mtaalamu anae toa ushauri na kuuza bidhaa zilizozibitishwa na zenye ubora kimataifa. Na imani tatizo lako litaisha !!!
 
Jamani ninaomba ushauri wenzagu nina cholestro ambayo nimepewa dawa za hospital kuanzia leo kunywa miezi miwili.
Je kitu gani cha asili nitumie ili itoke mwilini mwangu?
Asanteni:israel:
Kolesteroli au Helemu ni nini?, bonyeza link ifuatayo ukajifunze kolesteroli ni nini http://maajabuyamaji.net/kolesteroli/ pia katika web hiyo hiyo utajifunza namna ya kuyatumia maji kujikinga na kujitibu cholesterol na magonjwa mengine mengi.

www.maajabuyamaji.net
 
Yupo Mtaalamu wa Dawa za Kiasili humu JF anaitwa MziziMkavu, nadhani akiiona hii mada atakusaidia sana, dawa za hospital ni nzuri lakini zina side effect nyingi, maana unaweza ukawa unatatua tatizo la Cholestro na ukasababbisha tatizo la Figo
@Kituko Dawa ya Kuteremsha Cholesterol mwilini Fanya hivi :
TEMBE 4 Kitunguu Saumu
* MAJANI YA MVUJE KIASI MAJANI 14
* (YOUGHUT) Mtindi VIJIKO VYA SUPU 2

** CHANGANYISHA KWENYE BLENDA MPAKA VICHANGANYIKE VIZURI IGAWE MARA MBILI.
KULA ASUBUHI NA USIKU KILA WIKI MARA 3.

Au hii tumia :
Chukua majani ya mvuje (fresh) wahindi wanaita currypata na majani ya mchaichai (fresh) chemsha na

maji ufanye kiasi yasiwe majani mengi yawe kiasi na maji kiasi kisha kunywa gilasi moja, kwa siku mara 3 au 4 na

peleleza ukifanya haja ndogo utaona mafuta yanatoka au yanang`ara ng`ara yaani ndo mafuta yanatoka tumia kwa

mwezi kisha kacheki na ukiwa una cholestrol kubwa unaweza kutumia zaidi ya mwezi kisha ukachek. mambo yakustajabisha wengi walotumia wamefanikiwa.


JARIBU UTAONA MIUJIZA YA Mwenyeezi Mungu
 
utakula kila dawa ndugu. We anza tu utaratibu wa ratiba ya mazoezi. Hii itaondoa lehemu pamoja na kuimarisha misuli ya moyo na kusaidia damu kusambaza hewa kila kona ya mwili
 
Maoni wengi wamekupa "Mvumilivu Wangu", ila ningependa kujua nini kinakusumbua mpaka wakasema una Cholestrol nyingi mwilini na wakakupa dawa utumie?
Naona wengi wanavutia biashara zao humu ndani JF na nje pia, hata hapo ulipoenda pia wameamua kukulamba pesa zako kwa kukuambia una Cholestrol nyingi.
Be aware with your health.
 
Jamani ninaomba ushauri wenzagu nina cholestro ambayo nimepewa dawa za hospital kuanzia leo kunywa miezi miwili.
Je kitu gani cha asili nitumie ili itoke mwilini mwangu?
Asanteni:israel:

Ushauri wangu no kuwa kwanza ubadili mwenendo wa maisha yako na uanze kuishi maisha bora! Acha kula red meat na kama ni lazima ule, basi iwe ya kuchemsha tu bila kuwekwa viungo. Kila mara tumia mafuta ya corn oil au vegetable oil na chakula chako kisiwekwe mafuta mengi; tumia maziwa ya low fat au reduced fat na pia epukana na vyakula vya kukaanga kama vile chapati, maandazi nk. Na mwisho, ujitahidi na mazoezi yawe ya kutembea au jogging - nakutakia kila la kheri.
 
Back
Top Bottom