Habari?
Naitwa Chim nina umri wa miaka 28. Elimu yangu ni Fom 4 na pia nina cheti cha Grade One ya umeme wa majumbani, viwanda na hata mashine nina uzoefu wa kutosha kwenye hii taaluma yangu.
Mkisikia kuna ajira au kibarua cha huitaji wa mafundi umeme naombeni mnijuze wakuu 0656891069.
Naitwa Chim nina umri wa miaka 28. Elimu yangu ni Fom 4 na pia nina cheti cha Grade One ya umeme wa majumbani, viwanda na hata mashine nina uzoefu wa kutosha kwenye hii taaluma yangu.
Mkisikia kuna ajira au kibarua cha huitaji wa mafundi umeme naombeni mnijuze wakuu 0656891069.