Naitwa Hussein Hamis, nina cheti cha kilimo cha General Agriculture na cheti cha Bandari cha Reach Stacker operator, Natafuta kazi mimi ni Mkazi wa Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapoli yamejaa nchi nzima mtaji nguvu zako unakwama wapi sasa?
Unaweza kutuelewesha hapa, atawezaje kulima akiwa hana pesa??,Njoo kilombero ulime mpunga achana na mambo ya kuajiriwa
Unaweza kutuelewesha hapa, atawezaje kulima akiwa hana pesa??,
Tunaomba utueleweshe na wengineo tujifunze hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani anaishije eka 2 hata 3 unapiga jembe mwenyewe pesa ni ya kula tu kwani sasa hivi haliUnaweza kutuelewesha hapa, atawezaje kulima akiwa hana pesa??,
Tunaomba utueleweshe na wengineo tujifunze hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nielekeze hayo mapori namimi niendeMapoli yamejaa nchi nzima mtaji nguvu zako unakwama wapi sasa?
Nenda kisarawe kwa Jokate kamweleze shida yako vijiji kibaoNielekeze hayo mapori namimi niende
Naitwa Hussein Hamis, nina cheti cha kilimo cha General Agriculture na cheti cha Bandari cha Reach Stacker operator, Natafuta kazi mimi ni Mkazi wa Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vyeti ni vya nani?Naitwa Hussein Hamis, nina cheti cha kilimo cha General Agriculture na cheti cha Bandari cha Reach Stacker operator, Natafuta kazi mimi ni Mkazi wa Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app