Nina changamoto ya namna ya kupima chakula na juice ya kutengeneza ili kupata faida kwenye biashara yangu

Butterfly J

New Member
Jun 29, 2021
2
2
Habari zenu wadau,

Naomba kuuliza namna ya kupima chakula cha biahara mfano wali na nyama au ugali na mboga zake ili kupata faida Pia juice ya parachichi na embe au embe na passion huniletea hasara sijajua kuna kitu cha nyongeza cha kuweka ili kuifanya iwe nyingi au labda natengeneza nzito sana.

Pia naombeni ushauri namna ya kuwalipa hawa wafanyakazi kwa siku, biashara ni ndogo hivyo kazi yao ni kupikia nyumbani na kuuza sehemu maalum.

Je, bei zinazoleta faida mfano kwa nusu lita ya juice ni shingapi na kwa sahani ya wali na nyama au ugali na nyama nipange shingapi ili kupata faida.

Quality ya chakula watu wanaisifia, shida nifanyeje nipate faida.

Natanguliza shukrani :)
 
Ni either unapima kingi Sana lakini pia vyombo unavyotumia vikawa vikubwa Sana mwisho inakulazimu ujaze chakula kingi.

Adjust kiasi kwa kupunguza hii iendane sambamba na chombo Cha chakula kiwe na size ndogo. Hapo kwenye juice either badilisha size ya glass au la uwe una weka maji kiasi kwenye juice😁😁😁.

Wakati mwingine hizi biashara bila rafu kidogo inakuwa ngumu. Last either uongeze bei ambapo ni hatari wateja wanaweza kukumbia.
 
Ni either unapima kingi Sana lakini pia vyombo unavyotumia vikawa vikubwa Sana mwisho inakulazimu ujaze chakula kingi.
Adjust kiasi kwa kupunguza hii iendane sambamba na chombo Cha chakula kiwe na size ndogo. Hapo kwenye juice either badilisha size ya glass au la uwe una weka maji kiasi kwenye juice.

Wakati mwingine hizi biashara bila rafu kidogo inakuwa ngumu. Last either uongeze bei ambapo ni hatari wateja wanaweza kukumbia.
Duh simtatuua sisi tunao kula
 
Back
Top Bottom