Nina camera aina ya YASHICA original njoo nikuuzie!

mtafiti05

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
956
593
Camera zilizokua maarufu Sana kabla ya digital, zpo 2 nilikua natumia na zpo vzr Sana kwa ambae anahtaj tuwasiliane tuuziane maana sizitumii tena!

Bei maelewano tu kwa anaehtaji nicheck 0765-190024 au 0713-193781
Napatikana Tanga(mji wa mahaba).
 
Camera zilizokua maarufu Sana kabla ya digital, zpo 2 nilikua natumia na zpo vzr Sana kwa ambae anahtaj tuwasiliane tuuziane maana sizitumii tena!

Bei maelewano tu kwa anaehtaji nicheck 0765-190024 au 0713-193781
Napatikana Tanga(mji wa mahaba).
Weka bei hapa,mzee toka mji wa mahaba,pia weka picha mkuu wengine tumeanza kuzisahau!
 
491b5b3f8516111d4446db8b4939b253.jpg
 
Weka bei hapa,mzee toka mji wa mahaba,pia weka picha mkuu wengine tumeanza kuzisahau!
Picha hzo hapo mkuu, enzi zile nilikua nikiivaa shingoni ni mwendo wa kumulika tu na kula adv hata kama huna mkanda! Bei tsh 150,000/= zote, ninazo 2, ukitaka 1 nipe 80! Cha kale ni dhahabu na hakna jpya chn ya jua,

Karibu Mzee!
 
Nafkr umezkumbka zilivyo mkuu, super! Nile za toleo la kwanza kabsa na nzto, pcha zake zpo clear sana mithli ya Digital!
 
Nafkr umezkumbka zilivyo mkuu, super! Nile za toleo la kwanza kabsa na nzto, pcha zake zpo clear sana mithli ya Digital!
Umenikumbusha mbali sana mkuu,MZEE wangu alinunua Yashica miaka ya 94,alikuwa anaonekana ni moja ya wajanja wa kijijini,alinunua mpya 45k.
 
45k ya 94 sahv ni mara 4 ya thaman ya hela yetu ya kibongo, nakmbka nilikua kwenye gradu ya primary fulan mi nikiwa sec, mikanda 7 iliisha na bado watu wanataka PC nawanatoa hela cash, nikaanza kupga flash huku nachukua hela! Mpaka usku SAA 4 ukipga flash wanajua PC badae niliposafisha hazpo nikawaeudia kuwapga huku tayr nmetumia fursa!
 
Picha hzo hapo mkuu, enzi zile nilikua nikiivaa shingoni ni mwendo wa kumulika tu na kula adv hata kama huna mkanda! Bei tsh 150,000/= zote, ninazo 2, ukitaka 1 nipe 80! Cha kale ni dhahabu na hakna jpya chn ya jua,

Karibu Mzee!
Mkuu ni 150,000 au ulikusudia kuandika 15,000
 
Pia enz za sec ni shda, watoto kike wanashobo kama nn, ukiwa unawataka ni mwendo kuzngusha rungu2!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom