ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,544
- 44,690
Wakuu naombeni mniambie niende hospital gani ambayo nikifika tu nikiwaambia nimekuja kufanya check up watanipima magonjwa mbalimbali kuanzia kisukari, hepatitis, matatizo ya Figo, matatizo ya moyo, cancer na vidonda vya tumbo. Hospital iwe ndani ya jiji la Dar es Salaam na vipimo vyote nifanye bila gharama kwani Nina bima ya afya NHIF.
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani