Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,457
- 2,435
Shalom wakuu.
Nina addiction na simu kupitiliza.
- Kila muda ipo mkononi hata kama sina matumizi nayo (siwezi kuiweka kwenye mfuko).
- Nakuwa kwenye mitandao ya kijamii na Internet kiujumla kwa muda wote.
- Kama nina kazi kidogo, naweza nikaiacha ili nijibu text iliyoingia au simu inayopigwa.
- Nikiwa na simu sitaki hata kukaa na watu kwa kuogopa usumbufu nikiwa naperuzi.
- Nikikurupuka ghafla usingizini nakuwa na hofu ya kupoteza simu hivyo kuanza kuitafuta haraka.
Madhara niliyogundua ni maumiv ya kichwa, kukosa usingizi, macho kuuma usiku na kutoa kama machozi n.k.. Kiufup inanipa shida na nashindwa kuacha.
Je, nifanyeje?
Nina addiction na simu kupitiliza.
- Kila muda ipo mkononi hata kama sina matumizi nayo (siwezi kuiweka kwenye mfuko).
- Nakuwa kwenye mitandao ya kijamii na Internet kiujumla kwa muda wote.
- Kama nina kazi kidogo, naweza nikaiacha ili nijibu text iliyoingia au simu inayopigwa.
- Nikiwa na simu sitaki hata kukaa na watu kwa kuogopa usumbufu nikiwa naperuzi.
- Nikikurupuka ghafla usingizini nakuwa na hofu ya kupoteza simu hivyo kuanza kuitafuta haraka.
- Naweza kuwa natembea huku naangalia simu, ikishindikana huwa natembea haraka haraka ili nikakae vizuri niendelee kutumia.
- Hata nikiangalia TV siwez kuacha simu na nilikuwa mpenzi wa radio ila nimeacha (tangu 2016) kwa sababu ya simu.
Madhara niliyogundua ni maumiv ya kichwa, kukosa usingizi, macho kuuma usiku na kutoa kama machozi n.k.. Kiufup inanipa shida na nashindwa kuacha.
Je, nifanyeje?