Nina ADA, CPA(T) na Masters in Accounting and Finance lakini sina kazi zaidi ya mwaka sasa!

Jamani wadau naomba msaada, mana nimeangaika hadi nimechoka kutafuta kazi. Nina Ordinary Diploma in Accountancy GPA 4, Advance Diploma in Accountancy GPA 4.2. zote nimepiga IFM. Nilipomaliza Advance mwaka 2009 niliunganisha kufanya masters ya Accounting and Finance toka Mzumbe University, and on the same time nikawa nafanya CPA. CPA nilipass zote at 1st sitting na June mwaka jana nikawa nimeipata. Masters nina GPA 4.1, bado kudefend thesis tu. lakini wadau nimetafuta kazi tangu nilivyopata hiyo CPA hadi leo hola! nisaidieni basi ndugu zangu!

Sasa wewe ndugu unasoma soma tuuu na GPA zako utadhani unatunga mtihani mwenyewe itakuwaje? Si ujisalimishe kwa Prof. Jairo pale IFM akupe nafasi za kutumia elimu yako ya darasani? Mwenye makosa zaidi ni yule aliyekuwa analipa ada mfululizo. Wenzio wanafanya hiyo Diploma ili watoke wapige first degree baada ya hapo inatatosha unaingia ofisini unafanya kazi, CPA unapiga ukiwa ofisini, na masters pia unless uwe umekwenda kusoma nje ya nchi, Masters ya Accounting and Finance - Mzumbe siyo lazima kufanya full time unless unataka GPA za mapambo kama za kwako au ni kilaza.
 
Pole rafiki yangu, kazi utapata tuu, hata mimi hayo yalinikuta nikiwa nina vyeti safi lakini sikuwa na kazi. Chakufanya kwa kuanzia usiwe fasta na mishahara mikubwa. tena waweza anza kuomba kwa kutumia hicho cheti cha ADA. with time ukiwa una grow unaproduce vyeti vikubwa. Mimi nakumbuka nilianza kama Bank teller CRDB ila nikiwa na CPA kibindoni ila nilishauriwa nisi produce mwanzoni kwasababu sina experience baada ya hapo nikapata nafasi ya Juu kidogo NMB nasasa nipo nusu ya safari ninayo i-dream. (sipo tena NMB)

I beg to differ hiyo ya kuficha vyeti, nilipata CPA straight from collegue nikiwa sina uzoefu zaidi ya field attachment nikaambiwa uombe kazi kwa kutumia cheti cha ADA nikawa nakumbuka nilivyosoma kupata CPA kwa nguvu zote nikagoma, so kila ombi la kazi niliandika full qualifications, nikapata kazi International Orgz fulani ambao waliamini katika good qualification within a year nikabadili kazi to Management Accountant n so on .... Peleka CV yako recruitment agents halafu volunteer kwenye hizi Audit firm ambazo ni za wabongo ambao wanaandaa accounts za wafanyabiashara wadogo wadogo na wa kati as kuna kazi nyingi sana, utapata uzoefu mzuri kikazi as Professional Accountant pia utaweka kwenye CV. Kila la heri ni muda tu u will be somewhere nice.
 
Unachagua kazi wewe....acha kuomba kazi za Chief accountant, Finance Manager, CFO, CEO etc.....jifunze kwanza bwa mdogo.....! hizo kazi hata ungekuwa na GPA ya 5 huzimudu.....!
 
Jamani wadau naomba msaada, mana nimeangaika hadi nimechoka kutafuta kazi. Nina Ordinary Diploma in Accountancy GPA 4, Advance Diploma in Accountancy GPA 4.2. zote nimepiga IFM. Nilipomaliza Advance mwaka 2009 niliunganisha kufanya masters ya Accounting and Finance toka Mzumbe University, and on the same time nikawa nafanya CPA. CPA nilipass zote at 1st sitting na June mwaka jana nikawa nimeipata. Masters nina GPA 4.1, bado kudefend thesis tu. lakini wadau nimetafuta kazi tangu nilivyopata hiyo CPA hadi leo hola! nisaidieni basi ndugu zangu!

Kwa kuwa wewe ndo umemaliza shule na una qualification za juu sana, ila unakosa uzoefu, usiwe na wasiwasi, yaani wewe utapata kazi nzuri hadi ushangae mwenyewe. Lakini unhitaji uzoefu kwanza kama mwaka mmoja au miwili hivi. Mimi nakushauli tafuta Internship (siyo ajira) kwenye Makampuni makubwa ya Audit kama vile KPMG, PWC, DELLOITE,INNOVEX, ERNST & YOUNG. Ukishafanya Internship mwaka mmoja utakuwa umepata uzoefu angalau mwaka mmoja, sasa tafuta kazi yoyote ya uhasibu ili mradi sifa zako zinakurugusu.
 
Hao wana-survive 'bse they are competent...na hilo ndiyo hitajio kubwa la potential employers wengi hasa multinationals!!!

Ili kuwa head of finance dept kwenye private sector normally ni degree moja ya uhasibu + CPA/ACCA/ACA, mtu anazo..pengine experience miaka 5 kwenye reputable orgs...mtu kapiga 3yrs PWC, 2 yrs say Vodacom..utajilinganisha naye kwa hiyo masters yako wakati hata petty cash hujawahi kuifanya zaidi ya kusoma kwenye frank wood? hebu soma hapa ili uelewe nnachojaribu kukisema...http://en.wikipedia.org/wiki/David_Gill_(executive)
Wake up!!! uzunguni masters ni qualifications za university teachers hapa mmezifanya ni za bank tellers(no disrespect anyway)..what a shame!

I agree with u mkuu, kuna utofuti sana kati ya good qualifications na ufanyaji kazi katika mazingira halisi, namkumbuka my former Finance Manager alikuwa na BCom, CPA n Masters sijui in what pia alikuwa na uzoefu wa miaka saba ya PWC! Department ya Finance ilimshinda kabisa, na report za Wamarekani za kila mwezi kila mwezi tulikuwa late kuliko nchi zote kutoa reports, tena aliyekuwa anafanya kazi kubwa sana alikuwa ni Accountant mwenye Diploma ya DSA akiumwa huyo hapatoshi ofcn, so nadhani it takes a character to keep a person in Senior posts as hapo sasa ndo unamanage people not Dr n Cr! Back kwa aliyeandika article kajifunze kazi kwanza mambo mazuri yatakuja i.e voluntereer some busy place
 
tumekuwa tukilalamikia wale wanaolimbikiza mali na kupitiliza lakini nawe mkuu umelimbikiza elimu. Sasa angalia umekuwa overqualified na si ajabu CEO watakuwa wanaogopa kuondolewa kwenye nafasi zao na hayo 'mapepa' yako! Pia unaweza kufanya 'self assesment' juu ya uwezo wako wa kupresent maana 'makaratasi' huenda yasiendane na uhalisia wako! Anyway, pole sana
Jamani wadau naomba msaada, mana nimeangaika hadi nimechoka kutafuta kazi. Nina Ordinary Diploma in Accountancy GPA 4, Advance Diploma in Accountancy GPA 4.2. zote nimepiga IFM. Nilipomaliza Advance mwaka 2009 niliunganisha kufanya masters ya Accounting and Finance toka Mzumbe University, and on the same time nikawa nafanya CPA. CPA nilipass zote at 1st sitting na June mwaka jana nikawa nimeipata. Masters nina GPA 4.1, bado kudefend thesis tu. lakini wadau nimetafuta kazi tangu nilivyopata hiyo CPA hadi leo hola! nisaidieni basi ndugu zangu!
 
Sasa bebii aku pm umpe kazi au mgawane vyeti?[/QUOTE]

hahahahaaa jamani!!
ila asiee ulisoma kwa kuunganisha mno,wenzio tulipozi kwanza na then shule zingine tukazipigia tukiwa kazini na mambo fresh tu.
ila ujiajiri pia tafuta kitu/omba ushauri nn ufanye,izi kazi zina mwisho aisee labda uwe serikalini,ila za mikataba zina kikomo haijalishi elimu yako
 
Jamani wadau naomba msaada, mana nimeangaika hadi nimechoka kutafuta kazi. Nina Ordinary Diploma in Accountancy GPA 4, Advance Diploma in Accountancy GPA 4.2. zote nimepiga IFM. Nilipomaliza Advance mwaka 2009 niliunganisha kufanya masters ya Accounting and Finance toka Mzumbe University, and on the same time nikawa nafanya CPA. CPA nilipass zote at 1st sitting na June mwaka jana nikawa nimeipata. Masters nina GPA 4.1, bado kudefend thesis tu. lakini wadau nimetafuta kazi tangu nilivyopata hiyo CPA hadi leo hola! nisaidieni basi ndugu zangu!

Uncle mbona ume-overqualify?? Hupati kazi bongo tena wewe labda uombe kwenye mabenki ya kimataifa lakini huna work experience. Tafuta visa uingie nchi zinazoongea kiingereza kama vile Canada au Australia wanawahitaji sana hao watu.

Au omba TANAPA wakupe clarking kwenye mageti yao lakini nao wano CPA za kufa watu.
 
Pia using'ang'anie lazima upate sehemu flani tu,jaribu hata Audit firm za kati achana na hizo big 4 kama wanakuyeyusha fanya angalau miaka 2-3 sasa ndo uanze kutumia hivyo vyeti vyako vizuri.Vilevile sio lazima ufungue ofisi ushindane na akina Msasira (kitu ambacho kitakuchukua miaka mingi kuwa level moja nao) Nenda kaombe kufundisha CPA Review classes especially Msasira ana-encourage sana vijana..Best of Luck
 
Kwanini usitafute chuo ufundishe?maana gpa yako ni nzuri ila weakness ni experience tu ndo naona una.
 
I beg to differ hiyo ya kuficha vyeti, nilipata CPA straight from collegue nikiwa sina uzoefu zaidi ya field attachment nikaambiwa uombe kazi kwa kutumia cheti cha ADA nikawa nakumbuka nilivyosoma kupata CPA kwa nguvu zote nikagoma, so kila ombi la kazi niliandika full qualifications, nikapata kazi International Orgz fulani ambao waliamini katika good qualification within a year nikabadili kazi to Management Accountant n so on .... Peleka CV yako recruitment agents halafu volunteer kwenye hizi Audit firm ambazo ni za wabongo ambao wanaandaa accounts za wafanyabiashara wadogo wadogo na wa kati as kuna kazi nyingi sana, utapata uzoefu mzuri kikazi as Professional Accountant pia utaweka kwenye CV. Kila la heri ni muda tu u will be somewhere nice.

Thankx Ndugu, nimeshadondosha CV yangu sehemu kibao, kila siku nataraji labda kuna kati yao atakayeniitaji nikamtumikie.
 
Kwa kweli hadi sasa mawazo niliyoyapata hapa nimeshapata mwanga kabisa...! natamani ningeleta hii issue yangu hapa mapema labda uenda ningekuwa nishapata hizo ideal.

Lakini kwa nini watu wakiona mtu ana GPA kubwa au ana vyeti vingi wanakuwa hawamuamini? kwani wanadhani mimi siwezi kufanya kazi ya mtu mwenye GPA ya 2.7 anayoweza kufanya? Mana kama mambo ninayajua na ninayajua kitaalam zaidi kwa kuwa najua mengi ambayo yako kwenye level za kimataifa na siitaji kuelekezwa kila jambo kwa kuwa kama theoretically niko fit hayo mambo ya ofisini yatanishinda kweli?

Kama hawaamini GPA za chuo basi waamini hiyo CPA mana nimefanya mara mbili tu, November na May nikapata CPA, kweli watu wanaona kuwa mi nachakachua hapo? Tafadhali kama kuna muajiri yoyote humu jamvini anipe tu email yake mi nimtumie vyeti vyangu aangalie atanisaidiaje...! tafadhari sana jamani!
 
Vyeti bila skills ni bure!

Jamani wadau naomba msaada, mana nimeangaika hadi nimechoka kutafuta kazi. Nina Ordinary Diploma in Accountancy GPA 4, Advance Diploma in Accountancy GPA 4.2. zote nimepiga IFM. <br />
<br />
Nilipomaliza Advance mwaka 2009 niliunganisha kufanya masters ya Accounting and Finance toka Mzumbe University, and on the same time nikawa nafanya CPA. <br />
<br />
CPA nilipass zote at 1st sitting na June mwaka jana nikawa nimeipata. Masters nina GPA 4.1, bado kudefend thesis tu. lakini wadau nimetafuta kazi tangu nilivyopata hiyo CPA hadi leo hola! Nisaidieni basi ndugu zangu!
<br />
<br />
 
hata mimi ninayo lakini sijaona matumizi wala faida yake na mshahara wa kawaida tu serikalini

jamani kupata cpa ni kitu cha kwanza kuitumia vyema ni jambo jingine lazima tujitume na kuprove kuwa in value , na sio kung'ang'ania tuu nina cpa , so what ? Maana ni kama bachelor tuu kama utaichukulia poa , jitume bana ,tafuta michakato mbalimbali utatoka tuuu !
 
Back
Top Bottom