Soko la hisa hali yake inabadilika kila wakati. This is to say, hapa JF huwezi kupata actual and reliable answer.
Unachotakiwa kufanya ni kuresearch market ikoje. Kwa research yangu mimi ninaona hisa za Dar es salaam Community Bank kwa sasa zinalipa kwa malengo ya muda mfupi. Hata hivyo availability yake ndio shida kidogo. Hisa zinapokuwa na capital gain nzuri wamiliki huwa hawataki kuziuza.
Kwa malengo ya muda mrefu hisa za CRDB ni nzuri zaidi kwa sababu wamekuwa kwenye soko muda mrefu na wana historia nzuri financially. Hata hivyo capital gain yao siyo kubwa sana.
Hisa zinazopatikana kirahisi ni kama za Tanzania Oxygen ambazo zimekuwa na zero capital gain kwa muda mrefu. Vilevile, kumbuka kuwa biashara ya hisa siyo rahisi sana kama watu wengi wanavodhani, kama unataka kuhakikisha unatrade kwa faida ni vyema ukatumia muda mwingi kwenye kusoma sheria na taratibu za kufanya biashara hii kabla hujaianza.
NB: Hata kama wewe ni mkazi wa Tanzania siyo lazima ununue hisa za DSE tu, unaweza kuvuka mipaka na kuangalia mambo yakoje kwenye masoko mengine. Sheria inaruhusu na internet inawezesha.
Kila la heri katika uwekezaji.
kwa tz biashara ya hisa haina mpango kwani haina mzunguko wa kutosha (capital market is not active), ni bora ukafanya biashara nyingine nakushauri anza na business ya nafaka kwa tenda maalum,search market then supply) but not stock business.
Mkuu, upo sahihi, but wawekezaji wengi kwenye stock market hapa Tanzania hawaangalii capital gains (which is wrong), wengi wao ni speculators, they are purchasing a stock with the sole purpose of selling it at a higher price. Na kwa kweli wapo waliotengeneza fedha nyingi sana kwa mtindo huu wakati soko la DSE inaanza back in 1998. Kama ndugu FADHILIEJ anataka kufuata nyao zao basi ni vyema akasubiri wakati kampuni iko kwenye IPO.
Lakini hapo kwenye red mkuu, nadhani unahitaji kurefresh your memory. Labda nikuulize, unadhani Mtanzania anaruhusiwa kununua HISA nje ya nchi hata kwa zile kampuni ambazo hazijawa CROSS LISTED? Na mbaya zaidi kampuni nyingi za nje hazijawa cross listed DSE, kwani soko letu bado ni changa
Kaka, njoo huku Selous tufanye biashara ya mbao. Tusafiroshe kwenda Japani na Dubai. Hayo DSE ni chaka, biashara ya ku-hedge finance haiko reliable hapa bongo. Ni wazungu huko kwao wanapiga hela. Kwan unaweza kununua hisa za Microsoft leo za milioni 5 ukauza kesho milioni 7 haaaaa..... Bongo doesnt work!!! Mimi nimesomea hayo mamboooo
Naomba ufafanuzi hiyo biashara unaweza fanya vip,risk zake na naweza anza na kianzio gani.
Soko la hisa hali yake inabadilika kila wakati. This is to say, hapa JF huwezi kupata actual and reliable answer.
Unachotakiwa kufanya ni kuresearch market ikoje. Kwa research yangu mimi ninaona hisa za Dar es salaam Community Bank kwa sasa zinalipa kwa malengo ya muda mfupi. Hata hivyo availability yake ndio shida kidogo. Hisa zinapokuwa na capital gain nzuri wamiliki huwa hawataki kuziuza.
Kwa malengo ya muda mrefu hisa za CRDB ni nzuri zaidi kwa sababu wamekuwa kwenye soko muda mrefu na wana historia nzuri financially. Hata hivyo capital gain yao siyo kubwa sana.
Hisa zinazopatikana kirahisi ni kama za Tanzania Oxygen ambazo zimekuwa na zero capital gain kwa muda mrefu. Vilevile, kumbuka kuwa biashara ya hisa siyo rahisi sana kama watu wengi wanavodhani, kama unataka kuhakikisha unatrade kwa faida ni vyema ukatumia muda mwingi kwenye kusoma sheria na taratibu za kufanya biashara hii kabla hujaianza.
NB: Hata kama wewe ni mkazi wa Tanzania siyo lazima ununue hisa za DSE tu, unaweza kuvuka mipaka na kuangalia mambo yakoje kwenye masoko mengine. Sheria inaruhusu na internet inawezesha.
Kila la heri katika uwekezaji.