Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,274
- 6,435
Kwahiyo unaweza kupata hot 8 dukani kwa laki mbili tu?Mbpna hot 9 hadi sh 260
000 mpya unapata
Kwahiyo unaweza kupata hot 8 dukani kwa laki mbili tu?Mbpna hot 9 hadi sh 260
000 mpya unapata
Bei hiyo sawa ila sio kwa 200000 kavu.Aggrey 220,000 mpaka 240,000
Vp infinix smart 4 bei ikoje dukani?Hot 9 new had 260000
Vp infinix smart 4 bei ikoje dukani?
ohhh mkuu hapana ni 190 hiiChukua 100k haraka sana nakupa
Infinix hot 8
Ram 3gb
Storage 32 ila used
Tecno Camon 11
Ram 3
Storage 16 ila Camon 11 pro storage yake ni 32
Nipe 150000,nikuachie Huawei P9 lakini uka unlock wewe mwenyeweHabari za mchana wakuu, natumaini muwazima wa afya, kama kichwa cha habari kinavyojieleza nataka kununua simu ya kusogeza maisha sasa embu wajuzi wa mambo mnishauri nitapata simu gani kwa hiyo hela?
beiMkuu now Nina infinix hot 9, camera 3, ram 3 na storage 64 Hot 8 zimeniishia