hahahahaha,, asante mkuu kwa ushauri konki ila niliitenga yote kwa ajili ya kununua simu tu kwa huu mwezi sasa kati ya techno au huwawei naweza pata simu nzuri kwa iyo beiItel p33 kwa 140,000/=
Iyo 60,000 inayobaki rudisha kwenye biashara.
Ram 1gb internal storage 16gbasante mkuu kwa ushauri vp ina RAM na GB ngapi
huwaweihahahahaha,, asante mkuu kwa ushauri konki ila niliitenga yote kwa ajili ya kununua simu tu kwa huu mwezi sasa kati ya techno au huwawei naweza pata simu nzuri kwa iyo bei
Infinix hot 8habari za mchana wakuu, natumaini muwazima wa afya, kama kichwa cha habari kinavyojieleza nataka kununua simu ya kusogeza maisha sasa embu wajuzi wa mambo mnishauri ntapata simu gani kwa iyo ela.
ok mkuu nimekupata ngoja nifikirie kwanza
Mkuu hiyo infinix used naipatajeInfinix hot 8
Ram 3gb
Storage 32 ila used
Tecno Camon 11
Ram 3
Storage 16 ila Camon 11 pro storage yake ni 32
Mkuu now Nina infinix hot 9, camera 3, ram 3 na storage 64 Hot 8 zimeniishiaMkuu hiyo infinix used naipataje
Ngapi hiyoMkuu now Nina infinix hot 9, camera 3, ram 3 na storage 64 Hot 8 zimeniishia
kwa laki na nusu vp ??Infinix hot 8
Ram 3gb
Storage 32 ila used
Tecno Camon 11
Ram 3
Storage 16 ila Camon 11 pro storage yake ni 32
Mm njoo nikupe smart 4 infinix kwa 170 tu iko full box na risit zote,mm nililetewa na Dada yangu ila ninayo nyingne