Mkuu mimi sijakuelwa kabisa!
Hata mimi sijamuelewa. Kichwa cha habari kinaonyesha yeye ni form six wa point 11 CBG. Habari yenyewe inaonyesha yeye ni form four point 20! Which is which. Jipange.
Hata hivyo kama ni form 6 hiyo CBG itakupa options za ualimu, course za SUA na hata Medicine!
Kwa muundo wa sasa vyuo kama IFM unaweza kusoma kozi zote za business! Mambo yote ni vile upendavyo wewe. Nenda upendako.