:tape::nono:Tuendelee kumpa sapoti huku tukiwaandaa wengine watakaorithi nafasi yake.
Chonde tusijekuwa kama NCCR
Aah Slaa ni nguvu ya SODA TU! ,hana lolote,kati ya SLAA n LIPUMBA Nani aliyetikisa katika wagombea waupinzani?
Aah Slaa ni nguvu ya SODA TU! ,hana lolote,kati ya SLAA n LIPUMBA Nani aliyetikisa katika wagombea waupinzani?
EH, HUYU JAMAA KWANZA YUPO WAPI. KAMA NI ZANZIBAR BASI HANA KOSA. ILA KAma YUPO anafuatilia kote basi tumwache kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. kama kichaa akichukua nguo zako ukioga, ukimkimbiza tu, basi wewe ndo kichaa. si upo uchi???Aah Slaa ni nguvu ya SODA TU! ,hana lolote,kati ya SLAA n LIPUMBA Nani aliyetikisa katika wagombea waupinzani?
KWA MABADILIKO ALIYOYALETA Dr SLAA NASHINDWA KUJIZUIA KUMFANANISHA NA MARTIN LUTHER KING NA HARAKATI ZAKE ZA KUWAKOMBOA WATU WEUSI NCHINI MAREKANI.
HONGERA Dr SLAA WWE NI MWANAMAPINDUZI WA UKWELI WA WATANZANIA.:israel:
hii ni kweli kwa sababu niwajuavyo ccm hawatabadilika kiutendaji, na wananchi ndipo chadema waendelee kuwaelimisha taratibuUmesema kweli mkuu. Kinachotakiwa kwa sasa ni mshikamano katika Chadema. Ili kuwajengea wananchi imani hasa katika mikoa iliyo nyuma katika mambo mengi ambao bado wanaamini kwamba bila CCM nchi haitawaliki. Ninacho amini kwa sasa, kama hali ya kisiasa ktk chadema itaendelea kuwa na hamasa kama ilivyo kwa sasa, katika miaka mitano CCM ikimsimamisha mtu asiyefahamika kupambana na Dr. Slaa watakuwa na wakati mgumu sana!!