Ngwananzengo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,911
- 1,312
Tatizo lipo kwa huyo kijana. Miaka 33 ni MTU mzima na anao uwezo wa kujisimamia. Anaonekana bado ni kijana kifikra na kimaamuzi ndio maana analia lia eti anaharibiwa.
Huyo mama anamuharibiaje kwa watu ambao hawaishi karibu wala kufanya kazi pamoja?
Huyo mama anamuharibiaje kwa watu ambao hawaishi karibu wala kufanya kazi pamoja?