Naomba msaada hata wa mawazo niweze kumsaidia ndugu yangu ambaye kansa inamsumbua
Mwanzo ilikuwa breast cancer, surgery ikafanyika ocean road hospital ikifuatiwa na matibabu mengine kama chemotherapy na mionzi.
Baadae ikagundulika kuwa sehemu nyingine kama ini vimekuwa affected na akaanza dozi nyingine ambayo inaendelea hivi sasa, therapy for 6 times each month.
Lakini sasa hali inakuwa si nzuri, baada ya dozi ya pili, mgonjwa anakosa hamu ya kula completely na nguvu zinamuishia kabisa huku tukiambiwa tujitahidi tumpe chakula kusudi apate nguvu ya kuendelea na dozi.
Nina imani kuna wazoefu wa case kama hizi, naomba ushauri wowote,
Mwanzo ilikuwa breast cancer, surgery ikafanyika ocean road hospital ikifuatiwa na matibabu mengine kama chemotherapy na mionzi.
Baadae ikagundulika kuwa sehemu nyingine kama ini vimekuwa affected na akaanza dozi nyingine ambayo inaendelea hivi sasa, therapy for 6 times each month.
Lakini sasa hali inakuwa si nzuri, baada ya dozi ya pili, mgonjwa anakosa hamu ya kula completely na nguvu zinamuishia kabisa huku tukiambiwa tujitahidi tumpe chakula kusudi apate nguvu ya kuendelea na dozi.
Nina imani kuna wazoefu wa case kama hizi, naomba ushauri wowote,