Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
- Thread starter
- #41
Usifanye hivyo Shosti suala hapo ni kumuomba muumba asikupe fotocopy kama aliyopewa ndugu yangu huyu bali akupe mume muadilifu kama mm,tatizo ni kwamba hujakutana na mwanaume waadilifu kama mimi,ukikubali kuolewa na mtu msafi wa moyo kama mm basi lazima uifurahie ndoa yakodu ntabaki mseja milele,maana ndoa za siku hizi hazina mvuto kabisa:hatari: