Nimrod Mkono ndiye kinara wa kulipua uchafu Tegeta escow account

Mwakalinga Bujo

JF-Expert Member
Oct 22, 2008
2,719
1,440
Mara chache sana hoja nzito za kuitikisa serikali zinapoibuliwa bungeni inakuwa si rahisi kumjua Kinara wa mchezo mzima.

Kama mnakumbuka walikuwa vinara wachache sana wenye nguvu za kusimamia hoja zao mmojawapo alikuwa Mzindakaya aliyenyanyuka na mawaziri kadhaa enzi zile akiwemo IDD SIMBA(Jamaa alikuwa mbabe na maneno ya kejeli -kwa sasa jumlisha Warema, Muhongo na Lukuvi ndio utampata Idd Simba wa enzi zile).

Vyanzo vyangu vya habari vimenielekeza kuwa nguli huyu wa sheria na mbunge huko kanda ya ziwa ndiye aliyekusanya nyaraka zote na kumpeleka mbele kijana David Kafulila huku yeye akiwa kama hayupo.

Mchezo huu kwa wanaodhani kuna atakayepona ni ngumu sana kwani nyaraka zote zilikusanywa ndipo vijana wakapewa ruhusa ya kwenda mbele kwa baraka za Muzee.
 
Kwa kweli nikiona Pinda amejiuzulu ndio nitaridhika, huyu mzee ni tatizo kwa hii nchi akiongozwa na mkuu wake. Huyu Waziri mkuu ni dhaifu infinity.

Waziri mkuu gani asiyeweza kufanya maamuzi(kuchukua hatua) kwa maslahi ya Taifa? Mbaya zaidi anawatetea hao wala nchi bila aibu.

Huyu mzee anatakiwa awe wakwanza kujiuzulu. Na asipojiuzulu utakuwa ni upuuzi mtupu.
 
kha so na zile legal fees alizokuwa akilipwa na Tanesco baada ya mrija kukatwa ndio kilio kimesikika mpaka huko
 
mmh!,ndio tuseme kawachinjia baharini wakurya wenzio bila kujali wanatoka kumoja,ama nini?!!
 
principal za wizi hutakiwa kumdhulumu au kumuacha mwizi mwenzio katika wizi mpya, hili ni kosa. when you want to make a new gang you shoul kill old members. But huwezi mfukuza member kwa gang yako halafu ukategemea kuwa salama, shida muhongo kasoma elimu ya miamba, sasa social issues ni shida, ye anajua mwamba mgumu unatumia baruti. ndo maana kila siku anatumia maneno makali anajua kina Mkono na mengi watalainika tu, kumbe wazee wa fitina miaka kibao wanapiga deal halafu unakuja kuondoa kirahisi, sasa atatoka yeye arudi kuchimba miamba.
 
Halafu kuna tetesi kalishwa sumu huyu jamaa huko abroad,ila kawahishwa hospitali.
 
Kwa hoja hii inawezekana pia KAFULILA na ZITTO wakawa wameshikishwa mamillion na kulainika na kumtaja huyu mtu na pia inawezekana kwa sasa hawa jamaa hawana nyaraka yeyote wameisha wakabidhi hao mafisadi.
 
Mara chache sana hoja nzito za kuitikisa serikali zinapoibuliwa bungeni inakuwa si rahisi kumjua Kinara wa mchezo mzima. Kama mnakumbuka walikuwa vinara wachache sana wenye nguvu za kusimamia hoja zao mmojawapo alikuwa Mzindakaya aliyenyanyuka na mawaziri kadhaa enzi zile akiwemo IDD SIMBA(Jamaa alikuwa mbabe na maneno ya kejeli -kwa sasa jumlisha Warema,Muhongo na Lukuvi ndio utampata Idd Simba wa enzi zile).

Vyanzo vyangu vya habari vimenielekeza kuwa nguli huyu wa sheria na mbunge huko kanda ya ziwa ndiye aliyekusanya nyaraka zote na kumpeleka mbele kijana David Kafulila huku yeye akiwa kama hayupo. Mchezo huu kwa wanaozani kuna atakayepona ni ngumu sana kwani nyaraka zote zilikusanywa ndipo vijana wakapewa ruhusa ya kwenda mbele kwa baraka za Muzee.

Uko right. Issue nzima imeibuliwa na Mkono. Baada ya miraji yake ya ufisadi kutoka Tanesco kukatwa. Na mkataji alikuwa Muhongo. Wakati Muhongo anakata, yeye nae akaunga yake escow. Mkono kujua akamsakizia kwa Zitto na Kafulila. Kimbembe kikaanza. Na Mengi nae akapata mwanya kwani alikuwa na kisasi na Muhongo. Hivyo Muhongo akawa anashambuliwa na team Mkono na team Mengi. Na Lowassa nae kusikia akaongeza vikosi vya msaada kwani ameona itamsaida kwenye issue ya Pinda....
 
Uko right. Issue nzima imeibuliwa na Mkono. Baada ya miraji yake ya ufisadi kutoka Tanesco kukatwa. Na mkataji alikuwa Muhongo. Wakati Muhongo anakata, yeye nae akaunga yake escow. Mkono kujua akamsakizia kwa Zitto na Kafulila. Kimbembe kikaanza. Na Mengi nae akapata mwanya kwani alikuwa na kisasi na Muhongo. Hivyo Muhongo akawa anashambuliwa na team Mkono na team Mengi. Na Lowassa nae kusikia akaongeza vikosi vya msaada kwani ameona itamsaida kwenye issue ya Pinda....


Acha uzushi mdiliko wewe
 
Back
Top Bottom