Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,274
- 9,911
Diwani hajawahi kuwa TISS kablaUshushu hauitaji udaktari wala uphamacia mkuu,
Upelelezi ni taluuma mtambuka , hapo wako wale wanaowekwa kwenye taaluma hiyohiyo mfano police kuna police ambao ni tiss kama alivyokuwa Diwan Athumani, na wanajeshi ambao ni tiss pia,
lakini sio lazima kila tiss apelekwe kwenye taaluma aliyosomea haiko hivyo mkuu, unaweza kumkuta popote.