Mawasiliano Mara kwa Mara,kukujari na kuvumilia weakness ulizonazo,Tanzania hii tupo wachache ,ni Mimi na brother yangu tu
California love
🤣🤣🤣Mawasiliano Mara kwa Mara,kukujari na kuvumilia weakness ulizonazo,Tanzania hii tupo wachache ,ni Mimi na brother yangu tu
California love
Nsipomuomba si ndo atapata nafasi ya kwenda kuonga kwingine
ngoja nikwembie ukwel tu.
laizma mtagombana mara kwa mara sanaa tu
utatakiwa unielewe kwanza.mvutano unakuja mm nataka uwe na lifestly au tabia ambazo zinanifavor mm ambazo naona ukoprotected sasa ukute mwanamke akili ni finyu duuh ni kaz, sasa kama hamuendani ata ukilazimisha mtaachana tu ata kama ndoa mtafungia mbingun
na ukiona mmetulia sanaa jua 78% above kuna mmoja wenu anakula au kuliwa kimasihara kwa kiwango cha lami sio chin ya tanroad