Nimjuavyo olesendeka mbunge wa simanjiro!!!

vijana wa Lowasa mko kazini i

Watu kama wewe ndio "vilaza" katika nchi hii!! Hata masuala ya kisiasa nchini huyajui wewe.....kama mm ni kijana au mfuasi wa EL, iweje nimponde Olesendeka? Au huna taarifa kuwa Olesendeka kesha nunuliwa na EL? Sendeka hana msimamo dude!!

Hapa hakuna cha Sendeka wala Lowassa, niliyoyaeleza ni ukweli mtu AU ulitaka nidanganye wana JF? HAIWEZEKANI!!! Hii forum ina heshma yake, nitasutwa na nafsi yangu kuudanganya UMMA!!!!!
 
UUUUUHHHHH balaa kabisa huyo...hafai kabisa kuwa kiongozi katika jamii...si at-endorse rape. polygamy and all kinds of injustice...nimeshangaa sana
 
Nduu/Mamaya, hakuna mtu alotumwa hapa, je wewe umetumwa na nani?

Kama haya ni uongo, fanya research yako....tatizo la baadhi yenu ni wavivu kufuatilia mambo badala yake yakiletwa yalotafitiwa mnakurupuka hooo katumwa mara vijana wa flani...... Ukiona imekukera leave it alone!!
 
Usahauri kwa OleSendeka ni kuwa ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu. Mfano kuhusu suala la Katiba mpya maelezo yake yanakanganya kama yalivyo nukuliwa na Mwanahalisi. Kama mwanasiasa awe mwangalifu lasivyo hata wapiga kura wake watamsutukia.
 
Kakutenda nini!
Kiukweli jamaa ni mkorofi, mbaguzi kwa kiwango cha juu. Anapenda aogopwe hata na wafanyikazi wa halmashauri na ndiyo maana hawampigiagi kura, ana roho mbaya na hata pale kijijini kwake kabisa ni aibu. Landanai ni tarafa au kata, kijiji chake nimekisahau kidogo jina. Hata nyumba hana. Analala mabomani akienda simanjiro town.
 
Kiukweli jamaa ni mkorofi, mbaguzi kwa kiwango cha juu. Anapenda aogopwe hata na wafanyikazi wa halmashauri na ndiyo maana hawampigiagi kura, ana roho mbaya na hata pale kijijini kwake kabisa ni aibu. Landanai ni tarafa au kata, kijiji chake nimekisahau kidogo jina. Hata nyumba hana. Analala mabomani akienda simanjiro town.

Au anaogopa kulogwa kwa hiyo labda kajenga Arusha..
 
Wana JF,

Nimjuavyo Mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Olonyokie Olesendeka:

1. Ni mtoto wa kifugaji (mmaasai) wa kijiji cha Lendanai
2. Alisoma Moringe secondari- Monduli
3. Alipata division 0 (zero) form six
4. Alishakua katibu tarafa na diwani wa Kata ya Naberera Simanjiro
5. Mwenyekiti wa CCm wilaya yake ya Simanjiro
6. Ana wake watano, mmoja amemkimbia
7. Haja jenga nyumba kwao, anaishi nyumba ya kinyesi cha ng'ombe
8. Anamiliki ng'ombe zaidi ya elfu 4
9. Ndg zake wanaishi maisha ya dhiki na umaskini mkubwa
10. Jimbo lake la Simanjiro liko nyuma kimaendeleo na hakuna mradi wowote alioibua toka awe Mbunge wa jimbo hilo!
11. Wananchi wake ni maskini, hawana maendeleo na wasomi ni wachache. Jimbo lake halina mfuko wa maendeleo ya elimu.
12. Wakati wabunge wenzake wanasomesha watoto ktk majimbo yao, yeye hana hata mmoja anaemsomesha!
13. Ni Mbabe, mkorofi, Bondia na hasiti kuporomosha matusi hadharani bila kujali hadhi aliyonayo kama Mbunge
14. Mwaribifu wa ndoa za watu, na hupenza mabinti wadogo wadogo hasa vitoto vya shule!!!

Nawasilisha!!

Hadithi njoo..utam kolea!
 
Tena hajafanya chochote cha maendeleo . pale makao makuu ya simanjiro Orkesmet hamna maji kabisa watu wanaishi maisha ya shida sana . Lakini kwa mdomo ndo mwenyewe .
 
1. Olesendeka hakupata kuwa graduate - Hajasoma chuo chochote kikuu hata college! (cv yake utaipata kwenye politics tu)
2. Wake zake walikua watano (5) mmoja amemkimbia wamebaki wanne (4)
3. Ana watoto 21
4. Uhusiano wake na Ole Millya hauna mahusiano wowote na "wanawake" isipokua wanatofautiana kisiasa tu!
5. Ni kweli ni "HATARI" sana kuwa na mahusiano na watoto wa shule au uhusiano wowote nje ya ndoa. Tulitarajia Olesendeka angetulia kwa heshma ya nafasi aliyonayo na kwa kuzingatia pia kuwa ana wake wanne (4), Hawamridhishi? SIJUI labda ana PEPO la NGONO!!!

Alipata wapi ujasili wa kusema kuwa anweza kuwa mwalimu wa mh. Tundu Lisu tena angempa tuition bure?
 
Msishanggae sana, jamaa ni masai, so yeye hata akilala juu ya mti sawa tuu, kwao nyumba si ishu, wamasai wanamchagua sababu ya utajiri wake wa ng'ombe
 
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA, HII DHANA YA WE DARE TALK OPENLY NAONA SASA IMEKUA KITUKO!!!:rant::rant:
 
Olesendeka namkubali sana kwani anakula shavu la ubunge ambalo wengi wanalitamani na nna hakika bila la hilo shavu asingeshambuliwa humu!!b!go ole!!!maisha mazuri ndo mpango kama shule ulijaribu matokeo hayakuwa poa ila kwa imani kufeli maisha siyo kufeli maisha naona ukakomaa na mjengo unakuhusu na maposho kwa!!!life is good!hizi chuki za katika keyboard kama haziletwi na dhiki basi ni wivu wa mafanikio yako!!!!
 
kamtelekeza mtoto wake wa kike aliyemaliza pale jangwani,.anaishi vijibweni,naweza kukupeleka hadi kwa mama yake..anakutanaga naye kisirisiri...
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom