Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,508
Muombe Mungu wakati wake ukifika atawapatia, nendeni pia Hospitali kubwa ili kujua tatizo.
ni mkeo au mchumba? vyovyote itakavyokuwa, utamwacha alafu utakuta kaolewa na mwingine anapata tu mapacha, hapo ndio utajifunza uvumilivu kwa mtu unayempenda. pia, ndoa sio watoto t u ,pamoja na kwamba watoto ni wa muhimu na wanaongeza kitu. kuna watu wamepata watoto hata watano ajali ikatokea wakafa wote akabaki kama mwanzo...hao utawatofautishaje na wewe? nilifikiri utajitahidi kutafuta suluhu ya tatizo ili uishi maisha yasiyo na malawama.Amani ya bwana iwe nanyi.
Wakuu nimekuja kwenu nikiwa na jakamoyo, nalo ni baada ya kuwahi kuleta malalamiko hapa kuhusiana na shem wenu ambaye ameshaharibikiwa mara mbili , nilikua natarajia lolote mwaka huu lakini nayo imeharibika, hii ni ya tatu sasa wakuu.
Sijali gharama ninazo/nilizoingia kumhudumia as it is part of the bargain, lakini nahisi kama si mti unaozaa matunda.
Nimeamua sasa kutafuta kwingine. Nimekosea????
Hujakosea mkuu ukiona na huko pia mambo ni hayohayo then utakuwa na hakika kwamba mwenye kasoro ni wewe!!!Amani ya bwana iwe nanyi.
Wakuu nimekuja kwenu nikiwa na jakamoyo, nalo ni baada ya kuwahi kuleta malalamiko hapa kuhusiana na shem wenu ambaye ameshaharibikiwa mara mbili , nilikua natarajia lolote mwaka huu lakini nayo imeharibika, hii ni ya tatu sasa wakuu.
Sijali gharama ninazo/nilizoingia kumhudumia as it is part of the bargain, lakini nahisi kama si mti unaozaa matunda.
Nimeamua sasa kutafuta kwingine. Nimekosea????
Nop usifanye ivo,,, mpe ujauzito akikaribia kujifungua muhamishe mji akajifungulie mji mwingine au mkoa mwingine,,,Amani ya bwana iwe nanyi.
Wakuu nimekuja kwenu nikiwa na jakamoyo, nalo ni baada ya kuwahi kuleta malalamiko hapa kuhusiana na shem wenu ambaye ameshaharibikiwa mara mbili , nilikua natarajia lolote mwaka huu lakini nayo imeharibika, hii ni ya tatu sasa wakuu.
Sijali gharama ninazo/nilizoingia kumhudumia as it is part of the bargain, lakini nahisi kama si mti unaozaa matunda.
Nimeamua sasa kutafuta kwingine. Nimekosea????
Maumivu ninayoyapata hayaelezeki. Alihama mtaa kabisa ila haikusaidia.Nop usifanye ivo,,, mpe ujauzito akikaribia kujifungua muhamishe mji akajifungulie mji mwingine au mkoa mwingine,,,
Usimfadhaishe mshike mkono wa maisha, imagine ww ndo ungekuw yeye ungefanyaje,,
Co mtaa huwa tunawahamisha mikoa ya mbali,,Maumivu ninayoyapata hayaelezeki. Alihama mtaa kabisa ila haikusaidia.
Ndio umekosea kwa maana bado hujatibu tatizo kwani kwa hilo tatizo naamni linatatulika /linatibika hasa kwa kuwa concert wataalam hata mimi ndugu yangu wa karibu sana mimba tatu zilitoka kabla ya juzi kupata naby boy...Amani ya bwana iwe nanyi.
Wakuu nimekuja kwenu nikiwa na jakamoyo, nalo ni baada ya kuwahi kuleta malalamiko hapa kuhusiana na shem wenu ambaye ameshaharibikiwa mara mbili , nilikua natarajia lolote mwaka huu lakini nayo imeharibika, hii ni ya tatu sasa wakuu.
Sijali gharama ninazo/nilizoingia kumhudumia as it is part of the bargain, lakini nahisi kama si mti unaozaa matunda.
Nimeamua sasa kutafuta kwingine. Nimekosea????
Jamaa ana tatizo gani wakati mimba inaingia ila baadae ndio inaharibika??
Sio kuwa demu hashiki mimba, anashika ila baadae miscarriage.