Nimfanyaje Balozi..!? Nimuweke kundi la wanaonihujumu..!?? Lakini yore kwa yote ajuwe mi sio Pimbi wala Mbutwai kama wanavyowaza yeye na Genge lake

sseni

Senior Member
Sep 15, 2014
195
224
Mtoto wa mwenye añamzengea Mama Mtu, na kila nikipeleka malalamiko huwaita (kijana wa mwenye nyumba na wife) kwa Maelezo zaidi. Mimi huniambia nisubiri nje baada ya muda Balozi huwa anatoka nakuwaacha ndani kisha hunipeleka baa ya jirani huko ananinunulia Vyupa vya kutosha na kuniambia niombe ushauri kwa wanywaji. Taabu iko hapo sasa maana kila mtu huongea lake hadi napagawa zaidi ya yote sijui ndani kitu gani huendelea
 
Ba mwenye nyumba kaitisha kigodoro kasema amenisamehe bure bila masharti cja jambo mi pia nipo kati nacheza singeli make yupo ndani anapika mliosema niongeze balimi nawaona tuu mlitaka kunivunjia pagare langu.....????
 
Ba mwenye nyumba kaitisha kigodoro kasema amenisamehe bure bila masharti cja jambo mi pia nipo kati nacheza singeli make yupo ndani anapika mliosema niongeze balimi nawaona tuu mlitaka kunivunjia pagare langu.....????
Km umeona makosa ki maandishi ndo ilitakiwa kuwa ivo ko usitafakari saaana ukapagawa
 
Back
Top Bottom