sseni
Senior Member
- Sep 15, 2014
- 195
- 224
Mtoto wa mwenye añamzengea Mama Mtu, na kila nikipeleka malalamiko huwaita (kijana wa mwenye nyumba na wife) kwa Maelezo zaidi. Mimi huniambia nisubiri nje baada ya muda Balozi huwa anatoka nakuwaacha ndani kisha hunipeleka baa ya jirani huko ananinunulia Vyupa vya kutosha na kuniambia niombe ushauri kwa wanywaji. Taabu iko hapo sasa maana kila mtu huongea lake hadi napagawa zaidi ya yote sijui ndani kitu gani huendelea