Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,754
Nimezunguka na kukutana na katuni hii sijui muktadha wake.
Karibu tujadili.
Karibu tujadili.
Ndiyo ni yule NW Bwashee.Sasa huyo anaemuelekeza masikio milo ni nani mbona Mjanja wa Nzega
bashe na mexence melloSasa huyo anaemuelekeza masikio milo ni nani mbona Mjanja wa Nzega
BasheSasa huyo anaemuelekeza masikio milo ni nani mbona Mjanja wa Nzega
Ni kweli Jinamizi Fulani, maana limemuandama sana.
Be strong Melo
Ndiyo ni yule NW Bwashee.
bashe na mexence mello
Hahaaa max naye kachafuka?
Bashe
SawaMkuu mbona Hiyo katoon inaeleweka inamuhusu bashe kuhusu wafanyakazi wake na wala sio boss wa Jf