coco bella
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 305
- 315
- Thread starter
- #21
Duh pole ila bado upo Tanzania nawala haupo Burundi so sheria nizilezile mkuu naulipotoka
Kabisa nipo zangu Nyerere Square nakula upepo hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh pole ila bado upo Tanzania nawala haupo Burundi so sheria nizilezile mkuu naulipotoka
Mkuu nazikana hizo TuumaZero IQ kuna tuhuma zako huku.
Inawwezekana sana mleta mada hana hela kama mimi hapa, sasa amekuja kujiliza hapa jamvini pengine atapata mbuzi wa kafara....tehKwani ungenunua kungekuwa na shida gani mkuu?
Sawa mkuu, na akikunyima kiwanda chake ili uchakate... Usisahau kuja kumuandika hapa ili asome tena..Ameshasoma na kashakuja inbox kwangu
aliogopa kwenda dukani kusema anataka shumizi.Kwani ungenunua kungekuwa na shida gani mkuu?
Nimefurahi sana kukutana na hii comment....Nilijua ninawaza hili peke yanguKama uko serious na ulichoandika basi ubongo wako utakua umetikisika mahali
Kakwambiaje?Ameshasoma na kashakuja inbox kwangu
Haki wewe si mtu mzuri kabisaNdio nimekuja wakufahamu ulichonifanyia sio vizuri
Karibu geto kwangu coco bellaKabisa nipo zangu Nyerere Square nakula upepo hapa
Lakin ushatajwa mkuu!Mkuu nazikana hizo Tuuma
hatari tehePole sana...
Umeharakisha sana kumpa jibu kwamba hujabeba...
Ungesubiri ufike, angeona huna na kukuliza, ungesema vinakuja na basi la mizigo...
Cc: mahondaw