Nimezama kwa changudoa!

DEVINE

JF-Expert Member
Mar 11, 2011
536
86
Nimesoma riwaya moja inaitwa'TANGU NIPENDE',kilicho nishangaza jinsi mhusika mkuu alivyo zama kumpenda changudoa ambaye akaishia kuwa mke wake.Ivi hii inawezekana,binti unakutana naye kama kahaba anayejiuza mnaishia ndoa tena mapenzi ya dhati?! HEBU NAOMBA MNIJUZE.
 
Devine are you implying kua Changu doa sio binadamu?? Kwamba haana feelings or kua hastahili pendwa?? Changudoa na mtu ambae anfanya umalaya hawana tofauti... tofauti yake ni kua Changu analipisha hio huduma... Na labda chukua hizi faida za kuoa Changudoa... You never Know waweza vutiwa....

  1. Yupo Fit 6/6 in every sphere na anajua kujitunza huo mwili wake.
  2. Kwanza inabidi ujipongeze kua wee ni kiwango... maana siamini kama atakubali kuolewa na number mbovu hali zoote azijua...
  3. Huna wasi wasi ata fall in love na mtu mwingine... For this type of woman akifall kwakko hata itokee acheat itakua no emotional attachment.
 
Wengi ni machangu kwa kuwa wamebweteka kiasi cha kutojua mbadala wa kuendesha maisha,wakipata mtu wa kuwawezesha kumudu mikiki ya maisha ni watulivu kuliko wengi unaowaona watulivu na si machangu. Amini wengi wa hao machangu hawapendi kabisa hiyo biashara ni mazingira tu yanawalazimisha, afterall haina makombo...
 
Nimesoma riwaya moja inayoitwa TANGU NIPENDE,nimeshangazwa na jambo moja eti jamaa alizama kimapenzi kwa changudoa,na akafight hadi akamuoa.Ivi hii inawezekana,binti unakutana naye kama kahaba anayejiuza mnaishia ndoa tena mapenzi ya dhati?! HEBU NAOMBA MNIJUZE.
Inawezekana.
1. Sio kila changudoa hujiuza kwakua anapenda. kuna asilimia kubwa sana ya machangu hufabnya hivyo kutokana na ugumu wa maisha ila kiundani hawapendi hata kidogo. ni ile tu mtu anakosa altenative yakimaisha na wakati hua anakua na mahitaji ya kujitimizia.
2. Wapo ambao hujiingiza katika shughuli hizi kwa sbabu niliyoisema hapo juu lakini kama wakipata altenative wanaacha tena completely, hata hivyo wapo ambao wanaingia wakiwa hawana nia anayo bali ni shidatu, ila baada ya kuzoea wanajikuta kama wanakua addicted na wanapenda kazi yao hiyo. sasa hapa inategemea umekutana na yupi.
3. Mapenzi ni hisia na akili, lakini kwea kiasi kikubwa ni hisia. machangudoawanahisia kama kawaida. nilishasikia story kibao za machangu amabao unaweza kukutana nae siku ya kwanza ukamnunua ukaenda kupiga, lakini ikitokea akavutiwa na wewe anakua anakupa bila hata malipo. hiini ishara ya kua hata wao kuna wakati hua na hisia za kimapenzi.
Pili katika hili ni kua unaweza kumbadilisha tu mtizamo kabisa. mkakutana kama mteja na mtoa huduma lakini msi-treat kibuashara zaidi mkatreat kirafiki zaidi. sawa, at first hela utampa lakini on your privacy ukamfanyia vitu vingine vya kimahaba, care mbalimbali, zawadi, sometime unamlipa zaid ya makubaliano, sometime mnatoka bila ku do, sometimes mnazungumza habari tofauti kabbisa na ngono na kama upo siriaz sometmes unalala nae bila hata ku do hadi morning na chake unampa. ni njia tu za kisaiklojia ambazo zaweza kumbadilisha akajikuta anafall in love.


Angalizo: sio lazima kua njia hizi zitafaulu. uwezekano wa kufaulu upo lakini labda ni 40 kwa 60% or even ess than.
So try it at your own risk.
 
Devine are you implying kua Changu doa sio binadamu?? Kwamba haana feelings or kua hastahili pendwa?? Changudoa na mtu ambae anfanya umalaya hawana tofauti... tofauti yake ni kua Changu analipisha hio huduma... Na labda chukua hizi faida za kuoa Changudoa... You never Know waweza vutiwa....
  1. Yupo Fit 6/6 in every sphere na anajua kujitunza huo mwili wake.
  2. Kwanza inabidi ujipongeze kua wee ni kiwango... maana siamini kama atakubali kuolewa na number mbovu hali zoote azijua...
  3. Huna wasi wasi ata fall in love na mtu mwingine... For this type of woman akifall kwakko hata itokee acheat itakua no emotional attachment.
kumbeee!! Ila si kwamba mwanamke changudoa hana haki ya kupendwa,ila nashangazwa itawezekanaje kumbadili changudoa huyu hadi awe mke mwema? Kwa maelezo yako naona uko sahihi,ila je ataacha kabisa hiyo tabia.?
 
Inawezekana.
1. Sio kila changudoa hujiuza kwakua anapenda. kuna asilimia kubwa sana ya machangu hufabnya hivyo kutokana na ugumu wa maisha ila kiundani hawapendi hata kidogo. ni ile tu mtu anakosa altenative yakimaisha na wakati hua anakua na mahitaji ya kujitimizia.
2. Wapo ambao hujiingiza katika shughuli hizi kwa sbabu niliyoisema hapo juu lakini kama wakipata altenative wanaacha tena completely, hata hivyo wapo ambao wanaingia wakiwa hawana nia anayo bali ni shidatu, ila baada ya kuzoea wanajikuta kama wanakua addicted na wanapenda kazi yao hiyo. sasa hapa inategemea umekutana na yupi.
3. Mapenzi ni hisia na akili, lakini kwea kiasi kikubwa ni hisia. machangudoawanahisia kama kawaida. nilishasikia story kibao za machangu amabao unaweza kukutana nae siku ya kwanza ukamnunua ukaenda kupiga, lakini ikitokea akavutiwa na wewe anakua anakupa bila hata malipo. hiini ishara ya kua hata wao kuna wakati hua na hisia za kimapenzi.
Pili katika hili ni kua unaweza kumbadilisha tu mtizamo kabisa. mkakutana kama mteja na mtoa huduma lakini msi-treat kibuashara zaidi mkatreat kirafiki zaidi. sawa, at first hela utampa lakini on your privacy ukamfanyia vitu vingine vya kimahaba, care mbalimbali, zawadi, sometime unamlipa zaid ya makubaliano, sometime mnatoka bila ku do, sometimes mnazungumza habari tofauti kabbisa na ngono na kama upo siriaz sometmes unalala nae bila hata ku do hadi morning na chake unampa. ni njia tu za kisaiklojia ambazo zaweza kumbadilisha akajikuta anafall in love.
Angalizo: sio lazima kua njia hizi zitafaulu. uwezekano wa kufaulu upo lakini labda ni 40 kwa 60% or even ess than.
So try it at your own risk.
kama vile umeisoma hii story,maana jamaa kuna wakati alikuwa anapewa bure.Ila ni kweli c wote wanaweza kubadilika
 
Wengina wamejikuta tu wamekuwa machangudoa kwa kuahidiwa kwamba twende huku (especially wanaotolewa mikoani kuja Dar) kuna maisha mazuri!

Ukipata binti wa namna hiyo anatulia na unaweza usiamini, wengi sana wapo Kino kule wanatafuta pa kutokea waachane na hizo kazi!!! Tatizo ni sisi wanaume na uoga wetu.

Siku moja chukua changudoa ila si kwa lengo la kugonga, kaa nae sehemu tulivu umuhoji historia yake. Nakuhakikishia ukihoji watano watatu watakuliza kwa jinsi wanavyopata shida na kutamani kuiacha hiyo shughuli!!
 
kabla ya kumuoa una mflash kwanza kisha una mfactory settings

Hakuna haja hiyo... Mapenzi yako ya kweli kwake changudoa ni sawa na kumpa uhai mpya...yaani 'New advanced operating system" Windows 7 itaondoa taka taka zote za ile Windows Xp.
 
Hakuna haja hiyo... Mapenzi yako ya kweli kwake changudoa ni sawa na kumpa uhai mpya...yaani 'New advanced operating system" Windows 7 itaondoa taka taka zote za ile Windows Xp.

tatizo nanilii lazima iwe kama ngorongoro crater...hudhani utahitaji kifusi cha kutosha kukava mashimo?....lazima um formatt tu!
 
Hakuna haja hiyo... Mapenzi yako ya kweli kwake changudoa ni sawa na kumpa uhai mpya...yaani 'New advanced operating system" Windows 7 itaondoa taka taka zote za ile Windows Xp.
kwenye IT mie huko mgeni
 
Nimesoma riwaya moja inaitwa'TANGU NIPENDE',kilicho nishangaza jinsi mhusika mkuu alivyo zama kumpenda changudoa ambaye akaishia kuwa mke wake.Ivi hii inawezekana,binti unakutana naye kama kahaba anayejiuza mnaishia ndoa tena mapenzi ya dhati?! HEBU NAOMBA MNIJUZE.

unashangaza,elewa wanawake wengi ambao ni wake za wa2 wamekutwa na wenzi wao wakiwa ngorongoro creta, utofauti wengine wameuza wengine wametoa bure kutokana sababu tofauti, umasikin au tamaa ya fedha lakin swala la kupendwa na kupenda liko palepale.INAWEZEKANA TENA SANA.
 
Inawezekana.
1. Sio kila changudoa hujiuza kwakua anapenda. kuna asilimia kubwa sana ya machangu hufabnya hivyo kutokana na ugumu wa maisha ila kiundani hawapendi hata kidogo. ni ile tu mtu anakosa altenative yakimaisha na wakati hua anakua na mahitaji ya kujitimizia.
2. Wapo ambao hujiingiza katika shughuli hizi kwa sbabu niliyoisema hapo juu lakini kama wakipata altenative wanaacha tena completely, hata hivyo wapo ambao wanaingia wakiwa hawana nia anayo bali ni shidatu, ila baada ya kuzoea wanajikuta kama wanakua addicted na wanapenda kazi yao hiyo. sasa hapa inategemea umekutana na yupi.
3. Mapenzi ni hisia na akili, lakini kwea kiasi kikubwa ni hisia. machangudoawanahisia kama kawaida. nilishasikia story kibao za machangu amabao unaweza kukutana nae siku ya kwanza ukamnunua ukaenda kupiga, lakini ikitokea akavutiwa na wewe anakua anakupa bila hata malipo. hiini ishara ya kua hata wao kuna wakati hua na hisia za kimapenzi.
Pili katika hili ni kua unaweza kumbadilisha tu mtizamo kabisa. mkakutana kama mteja na mtoa huduma lakini msi-treat kibuashara zaidi mkatreat kirafiki zaidi. sawa, at first hela utampa lakini on your privacy ukamfanyia vitu vingine vya kimahaba, care mbalimbali, zawadi, sometime unamlipa zaid ya makubaliano, sometime mnatoka bila ku do, sometimes mnazungumza habari tofauti kabbisa na ngono na kama upo siriaz sometmes unalala nae bila hata ku do hadi morning na chake unampa. ni njia tu za kisaiklojia ambazo zaweza kumbadilisha akajikuta anafall in love.


Angalizo: sio lazima kua njia hizi zitafaulu. uwezekano wa kufaulu upo lakini labda ni 40 kwa 60% or even ess than.
So try it at your own risk.

du somo la ukweli ila hapo kwenye kulala nae bila ku do nina mashaka kama linawezekana
 
DEVINE acha vichwa vya kuuzia magazeti: 'Kigogo wa CCM afumaniwa gesti' Ukisoma habari yenyewe: alikuwa akiongea na kigogo wa CHADEMA!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom