Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
Umeuliza swali zuri sana,nimeanzaje kumtia wakat simpendi ..right ni kwamba she was the one who spoke to me kwamba ananihitaji,of course nilimkatalia kwamba siko tayari nina mpenzi wangu(though kwa muda huo nilikuwa single)but hakutaka kuelewa kila siku akawa anaendelewa kuniplease huku analia mara kwa mara..at the end of the day nikamwambia basi tuwe marafiki wa kawaida tu.sasa katka urafik wetu wa kawaida akafanikiwa kunishawishi na mm kama binadamu nikajikuta nimeanguka so am very confused by now!!
Kudiscuss issue na mtu ambaye amechanganyikiwa ni hatari..