nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Ukute mtu alikuwa anatafuta ndoa..
Kaka wewe si wa kwanza kuzaa...kama hayuko moyoni lea mwana...jiandae kwa challenge siku za usoni utakapopata umpendae...hasa akiwa hana big heart ya kumpenda mwanao...
Kwa wengine mkiona mwenzenu ananyolewa tieni maji...
Wacheni kutembea na wanawake wasio wa type zenu...watazilengesha sana mimba na kama huna msimamo unaona...
Kaka wewe si wa kwanza kuzaa...kama hayuko moyoni lea mwana...jiandae kwa challenge siku za usoni utakapopata umpendae...hasa akiwa hana big heart ya kumpenda mwanao...
Kwa wengine mkiona mwenzenu ananyolewa tieni maji...
Wacheni kutembea na wanawake wasio wa type zenu...watazilengesha sana mimba na kama huna msimamo unaona...