Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,647
- 6,829
Natanguliza salamu,
Nimezaa mtoto sasa ana miaka 5, huyu bibie hakunambia kama ameolewa,
kumbe ni Bi mdogo wa jamaa ambaye wamefunga ndoa ya kiislamu. Yaani ni mke wa pili.
Ni story ndefu kidogo ila kwa sasa naona mtoto ananifanana kabisa. Kifupi mama yake hanipi ushirikiano kwa kulinda ndoa yake.
Vipi kuna namna naweza mpata huyu mtoto?
Naomba muongozo mzuri, kama itawezekana sawa kama haitowezekana yote mema tu.
Kikubwa ninachohitaji mtoto aweze kunitambua kama baba yake, na nianze kuwajibika kama baba.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimezaa mtoto sasa ana miaka 5, huyu bibie hakunambia kama ameolewa,
kumbe ni Bi mdogo wa jamaa ambaye wamefunga ndoa ya kiislamu. Yaani ni mke wa pili.
Ni story ndefu kidogo ila kwa sasa naona mtoto ananifanana kabisa. Kifupi mama yake hanipi ushirikiano kwa kulinda ndoa yake.
Vipi kuna namna naweza mpata huyu mtoto?
Naomba muongozo mzuri, kama itawezekana sawa kama haitowezekana yote mema tu.
Kikubwa ninachohitaji mtoto aweze kunitambua kama baba yake, na nianze kuwajibika kama baba.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app